Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
MUULIZE FIDEL!he is our watch dogKabla hamjaendelea naomba kuuliza carmel yuko wapi????????????????nimemmiss sana ni takrabani kitambo sasa haonekani
MUULIZE FIDEL!he is our watch dogKabla hamjaendelea naomba kuuliza carmel yuko wapi????????????????nimemmiss sana ni takrabani kitambo sasa haonekani
Kabla hamjaendelea naomba kuuliza carmel yuko wapi????????????????nimemmiss sana ni takrabani kitambo sasa haonekani
Mamaaa la Carmel ndani ya vekesheni Shinyanga. Jumatatu anaingia kwa jukwaa! Hahahaha!
Wazo zuri sana maana wazungu wanatoka mbali kuja kustarehe na mali zetu ngoja nijipange.
Shemeji zangu hebu nisaidieni hapa! sio wivu lakini amejuaje? Mbona mchumba anaonekana ana taarifa zaidi? kuna nini?
i get it right!probably upendo umeongezekaShemeji zangu hebu nisaidieni hapa! sio wivu lakini amejuaje? Mbona mchumba AMEZIDISHA VIONJO KWENYE MAPENZI YETU? kuna nini?
anateleeza!ANATEEELEZA!hahaha wivu sina ila roho inaumaa eeeh
tukutuku ziko service kwa ajili ya hili tu jamani!ningependa sana nimpandishe carmel kuanzia kimara mpaka eneo la tukio
anateleeza!ANATEEELEZA!
wivu sina*2...ROHO INAWAUMA!
na mimi nina wangu.............
na wewe una wakooooo...............
munene kwa muneneeeeeeeeeeeeeeee/.....
mwembamba kwa mwembambaaaa......................
hakikisha breki zinashika mbele tu....!usije na HELMET,acha leseni acha kila kitu cha muhimu,la muhimu kwako ni kuhakikisha unampakia carmel!
Am trying to imagine FISI likisakata SEBENE.Hahaha! Hiyo itakuwapo kwenye mbuga. Mpaka mafisi yatacheza safari hii!
i can't wait to see it happening!Hahaha! Hiyo itakuwapo kwenye mbuga. Mpaka zd wangu atacheza kilwanzenza safari hii!
Am trying to imagine FISI likisakata SEBENE.
hehehehehehe!Jipange sawa sawa. Utaacha imaginations, utaona for real. Fisi akipata valeur kidogo anakata mauno balaa.
i can't wait to see it happening!
bwashee hivi unakula bia gani?
muhudumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!mgongee bwashee SENKSI na mpe serengeti yake!