Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 883
- 73
*Mgonjwa*: Daktari naumwa sana namoyona najisikia kufa kufa tu.
*Daktari*: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
*Mgonjwa*: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenziwa Arsenal
*Daktari*: Na unafanya kazi wapi?
*Mgonjwa*: Nilikuwa nafanya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise
HotelBagamoyo.
*Daktari*: Una akiba yoyote ya fedha benki?
*Mgonjwa*: Ndiyo, akiba
yangu yote ya fedha ipo DECI.
*Daktari*: Mmmh, unaishi wapi?
*Mgonjwa*: Naishi
mbagala karibu na kambi ya jeshi
*Daktari*: Subiri kufa maana hakuna tiba mbadala ya maradhi yako.
*Daktari*: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
*Mgonjwa*: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenziwa Arsenal
*Daktari*: Na unafanya kazi wapi?
*Mgonjwa*: Nilikuwa nafanya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise
HotelBagamoyo.
*Daktari*: Una akiba yoyote ya fedha benki?
*Mgonjwa*: Ndiyo, akiba
yangu yote ya fedha ipo DECI.
*Daktari*: Mmmh, unaishi wapi?
*Mgonjwa*: Naishi
mbagala karibu na kambi ya jeshi
*Daktari*: Subiri kufa maana hakuna tiba mbadala ya maradhi yako.