Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
- Thread starter
- #81
Yeaah ni watu ninaofahamiana nao. Nipo nao kazini ila hatuna mazoea ya kupeana vyakula.
Mkuu Mungu apewe sifa, kwa upande wangu sipingani nawe kuhusu hiyo miujiza ila napenda kujua hao wanaokuletea msosi ni staff wenzio unaowajua au?