mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,261
- 44,737
Kwanini wanawake tu watakuwa wanakutaka
Hahaha! Duh..we jamaa ni nouma,unabofya mpakato then hela ya kula tizi?nafikili akija masikini hapa kutoa na yeye ya moyoni mpaka tutajikuta tunamchangia,ila kwa wewe jamaa endelea kuletewa lunchKutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.
Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.
Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.
Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.
Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.
Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
Kiukweli hata mimi nimeshangaa sana.Mkuu Chizi Maarifa nimekuelewa sana.
Ila nilichojifunza humu ni kwamba madogo wengi hawajui changamoto za maisha na wanadhani ukiwa na kazi unakuwa umemaliza. Kibaya zaidi wengine hata kazi hawana halafu wanajidai kuponda, heeheeeee kweli haya maajabu yako Tanzania tu.
****Bangi zingine bhana
ndo maana unapata miujiza ya msosi tusisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa
****
sio bhang ndg huwa ni mambo ya ajabu sana..!/
Acha nihadisie ya kwangu niya kitambo kidogo..
***
wakati nasoma primary schools/ mzazi alinizoesha kunipa 500/-ya kula shuleni./ wakaja tokea wanoko gani wakaja mwambia mama unamzoesha mtoto tabia mbaya...!/
hakika kuanzia siku ile ni kushibishwa kwa sana asb./
lakini chaajabu wakati siku moja nacheza nyumbani kama ujuavyo Watoto na kuchezea michanga/
nikawa nafukua pahala kwa mikono!,hamadi pesa tele zikawepo pale,amini usiamini niliendelea kuchukua mia 500 kila siku mpa namaliza la saba/through automatic way sikutilia maanani kale kashimo / ile sight ikajanipotea kila nijaribu kuchimba puktyuuu hamna kitu.
..Udumu Kula shambani mwa Bwana MkuuKutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.
Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.
Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.
Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.
Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.
Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
Ahssannttee JJ, Jini huyo ndo tulo mtoa pangoni ulikuwa kama pimbi.... ukakimbilia mnazini tukakuteremsha na kukuvika kaptura ukafurahi ukaanza kunena Woo woo tchue thuu.. tukaulainisha ulimi ukajua kutamka "Kiswahili" !!waarabu?? usikute unalishwa na majini
Mkuu Chizi Maarifa nimekuelewa sana.
Ila nilichojifunza humu ni kwamba madogo wengi hawajui changamoto za maisha na wanadhani ukiwa na kazi unakuwa umemaliza. Kibaya zaidi wengine hata kazi hawana halafu wanajidai kuponda, heeheeeee kweli haya maajabu yako Tanzania tu.
Mkuu MBI, wewe kuwa mtu mzima.. chunga lafudhi na zungumza mema...Angalizo hao waarabu wasijewakawa wanakunenepesha ili waje kukufumua marinda
You are blessed...Nashukuruni sana hata kwa comments za kebehi. Kila jambo lina sababu yake. Majini si tatizo kwangu. Hayanipi shida maana si kitu cha kuniogipesha. Yenyewe yanapaswa kuniogopa mimi. Mungu hutumia watu ambao hata hatuwadhanii. Kama unasoma Biblia utakumbuka habari ya Eliya aliyelishwa na Kunguru.
Kukosa pesa huwa inatokea hata kwa mtu anayepokea mamilion kuna kipindi Mungu anataka tu aonekane kwa namna yake kwa vitu vidogo.kwa maana neno la msalaba kwao wanaopotoea ni UPUUZI.1 wakor 6:18.
So nawaelewa ila nashukuru nimetimiza kushare nanyi hili jambo. Ukikaa ukafikiria kwa akili za kiroho kuna ujumbe mkubwa zaid ya huu unaouona. Mungu alimtumia mwanamke mjane wa Sareptha Kumlisha Eliya pia.
Anyway mimi si Eliya lakin nataka tu ujenge ufaham huo. Na pia kuondoa dhana chafu za sex wakat wote. Ukifikiria hivyo kila wakat utajikuta huna marafiki wa kike mnaoheshimiana maana we umeweka akilin sex tu
Hapo kwenye neno waarabu badilisha andika wazungu...uone maajabu ya comments humu jf. Utashangaaa hutakosa "amein" kama 1000 hiv...!
Just try!