Risk taker
Member
- Jan 20, 2009
- 35
- 0
JK: Wee Jakobu, kiduku kinachezwa hivi, unaweka mikono mbele halafu unabetua miguu kwa nyuma.
JZ: Wewe Jokery (Jakaya), unapanua miguu kidogo, hiyo si mliiga kwetu bondeni, halafu kiuno kwa mbaaali.
JK: Duuuhh akili ya kuambiwa changanya na ya kwako...