William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
CHADEMA walizomewa na kutukanwa walivyotoka kuipinga lasim ya katiba ambayo haikutoa uhuru wa kujadili uwepo wa muungano.
NA vurugu zikiachwa hivi Zanzibar tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi.
Hawa watu wanaamini viongozi wa nchi ni dini yao hivyo watawalinda. Yani maraisi na makamu wote Muungano na Zanzibar na waziri wa ulinzi na mambo ya ndani.
MUUNGANO UJADILIWE KWENYE KATIBA MPYA KAMA KWELI WAZANZIBARI WENGI HAWATAUTAKA BASI UVUNJWE KWANI NI KWA MANUFAA YA NANI?
NA vurugu zikiachwa hivi Zanzibar tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi.
Hawa watu wanaamini viongozi wa nchi ni dini yao hivyo watawalinda. Yani maraisi na makamu wote Muungano na Zanzibar na waziri wa ulinzi na mambo ya ndani.
MUUNGANO UJADILIWE KWENYE KATIBA MPYA KAMA KWELI WAZANZIBARI WENGI HAWATAUTAKA BASI UVUNJWE KWANI NI KWA MANUFAA YA NANI?