Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
naona kapoint kwa mbaaaaaali...................!!!!
..Uganda walikuwa wanatoa elimu bure toka msingi mpaka o-level. majuzi Museveni kaongeza na a-levels.
..suala hili litahitaji pesa nyingi. lakini badala ya kulipinga wazo hili 100% labda tungeanza kutoa elimu ya chuo kikuu bure.
..vilevile ni lazima kuongeza bajeti ya elimu ili kuboresha viwango, manaake sasa hivi kinachotolewa siyo elimu bali ni uozo tu.
Kasheshe said:Kwa nini waTanzania mnakazia sana kuonhelea matumizi, hamuongelei kuongeza uwezo (mapato) wa nchi na Wananchi wake kiuchumi... this to me is the only solution for our nation.
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.
mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.
mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:
1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.
niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.
kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima
ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.
hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
nina wasi wasi sana na huo UDAKTARI WAKO mkuu!.....ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.
mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.
mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:
1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.
niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.
kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima
ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.
hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
japo sijaaapishwa, tayari niko kazini na kwa sasa nafanya kazi ya kuteua kamati za kunisaidia kufuatilia shughuli za maendeleo jimboni ikiwa ni pamoja na kupanga mikakati ya kutafuta fedha za maendeleo kwa kuanzia na usambazaji wa maji ya bomba jimbo zima katika miaka mitano ijayo.
yaani baada ya ushundi huu, nimeanza rasmi kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015 kwa matendo. wapinzani wasahau kabisa kushinda hapa jimboni
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
AsentiSiku zote ulikuwa wapi? Watu tumesambaza vitabu shule zaidi ya mia na wala si wabunge na hatuutaki huo ubunge. Hivyo basi mm siku zote nawaona watu wa aina yako ni matapeli wanaofikiri maendeleo yatakuja iwapo wao watakuwa wabunge. Kumbuka ww si wa kwanza kufikiri namna hii na matokeo tunayajua kwa waliokutangulia
ound:Mwongo wewe sio mbunge. Kama kweli ni mbunge wa ccm, naomba takrima.