Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Zumbemkuu nimekubaliana nawe.
Alisema wakati madakatari walipogoma alikaa kimya akaenda Davos kula kuku. Waliporejea kazini akijitokeza na kusema atahakikisha mgomo hautatokea tena. Leo hii tunashuhudia chini ya wiki mbili baada ya kauli hiyo wamegoma na yuko kimya. Sijui anajiandaa kwenda kula kuku tena wapi!!!
Vile yuko kaskazini lazima atinge Bilila Kempiski(sijui na yenyewe ishakuwa Hyatt)