mapambazuko
Member
- Oct 6, 2010
- 23
- 1
jamani naomba kufahamishwa na member aliyebobea katika masuala ya katiba au anayeifahamu vizuri mapungufu yake au kipi cha kubadilishwa kifungu cha zamani na ushauri wa kifungu kipya.naona watanzani wengi hawafahamu vifungu vilivyopitwa na katiba ingwa sio kosa lao kwani soma la siasa tulikuwa tunafundishwa sisi tuliosoma zamani kidogo lakini katiba ya nchi hatukuwahi kuiona shuleni.msaadajamani.