Mkuu Kurunzi, hongera kwa kuwa bold na kuleta ukosoaji wa CDM in a constructive criticism. Sisi tuliofanya hivyo kule nyuma, tuliishia kutukanwa!.
Pia nawapongeza wana Chadema kwa yote, they are growing up for the better! This time hawajatukana!.
Amini msiamini, critique ndio inayojenga chama imara kuliko pongezi za sifa na mapambio!.
Pasco.
uko sahihi kamanda. mimi pia napenda wawe wanatangaza hela zinazopatikana wakipitisha mchango. ni hela ya umma hiyo,wapenda mageuz.
jamani si kila mtu anayekosoa ana nia mbaya..kuna namna ya kuboresha kulingana na mtizamo wake..upande wangu nimeona kuna point fulan aliposema au kudai tathimini..ni lugha tu aliyotumia cha msingi naona alilenga kitu kinaitwa baseline survey..hii hufanyika unapotaka kufanya jambo anatakiwa kuwa na data za wakati huo hii itakusaidia kufanya ufuatiliaji(monitoring) na baadae tathimini(evaluation) yote haya kukuwezesha kujua kama upo katika mstari sahihi na mwisho je umefanikiwa?
Hakuna haja ya kutaja idadi ya wanachama, kimbunga kitaonekana mwaka 2015. Leo nimemsikia MzeePeter kisumo ambaye ni mwenyekiti wa baraza la wadhamini la ccm kwamba ccm ina wanachama milioni 5 lakini wamesahau kuwa tangu operation ya vua gamba vaa gwanda ianze wanaccm wengi wamehamia cdm.
4. Mc alifanya kazi nzuri sana ya uhamasishaji sijajua jina lake lakini alivaa ovyo sana sawa inawekana ni msanii lakini angalau angevaa sare za chama au kwa njia nyingine nadhifu lakini alionekana kama aliitwa tu kuja kufanya kazi ya u-mc tu.
Ni hayo tu.