Hii ni "white supremacy in guise" kwanini ni mwenye asili ya kiafrika anaibia na kusaidiwa n mzungu anaonyeshwa mwenye uwezo? Picha hii ni zaidi unachokiona ni kuendeleza dhana potofu mzungu ndiye anayewza hata katika mtihani na mwafrika ndiye anayesaidiwa kwakua anawezo mdogo. Huku ni kujenga saikolojia ambayo imekolea sana hata kwa viongozi wetu... misaada na ufisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.