Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!
utafiti niliofanya unaonyesha wachangiaji wengi hawapo tz kazi maneno mengi tu jf, hata hawakumpia kura rais wao slaa mwaka jana. acheni kuwashika pembe wa tz maskini
utafiti niliofanya unaonyesha wachangiaji wengi hawapo tz kazi maneno mengi tu jf, hata hawakumpia kura rais wao slaa mwaka jana. acheni kuwashika pembe wa tz maskini
Mnaigeuza CHADEMA kuwa bendi ya muziki. Boys to Men, The Beatles, FM Academia, KandaBongoman,....., mapokezi kila mahala!
Ikiwa hali ndio hiyo, mnawasumbulia nini Watanzania masikini hawa hata mnapokuwa mnakwenda kwenye shibe ya peke yenu Bungeni? Mapokezi ya Arusha hayakutosha? Mbona mlibebwa kabisa?
CHADEMA yetu inaelekea kufanya mambo kwa staili ileile ya CCM ya maandamano kwa kila kitu. Hamtakuwa tofauti mkipewa NCHI.
Mabadiliko yataletwa na WATANZANIA wenyewe. Hivi vyama vya siasa vipo kiruzukuruzuku tu. Ukiondoa ruzuku hakuna chama kitabaki.
Wasio na ajira wala kazi za kufanya Tanzania hii tuko wengi mno. Wenzenu posho za Ubunge zinaanza kurindima kuanzia leo ninyi mnaandamana kuwapokea huku mkipiga miayo wala hamjui jioni ya leo mtakula nini!
Hilo umeliona saizi tu au hata kipindi kileeeee cha ujima ulikuwa unachukia kweli?Mnaigeuza CHADEMA kuwa bendi ya muziki. Boys to Men, The Beatles, FM Academia, KandaBongoman,....., mapokezi kila mahala!