Subiri tu hizo picha za mapokezi zitoke. Wengine hata ndala miguuni hakuna. Tena sehemu yenyewe Dodoma kwa akina Matonya?
dont be stupid man,mlianza swala la cdm na wachaga tukakaa kimya sasa mmehamia dodoma na umatonya why?kama huna cha kujibu kaa kimya gamba weee!hiyo ndio plan B ya siasa waswahili husema penye uzia penyeza rupia.peopleziiiii