Mapinduzi Yaliyoshindwa ya DARUSO 2002/3

Status
Not open for further replies.

Hii chai yako haijakaa vizuri umetia sukari sna wewe hauna uwezo huo; we ni mtu wa wanawake inasemekana ulikuwa Biz na mtoto mmoja wa Kike Mkerewe babae akiwa Lecturer UDSM; sidhani kama unaweza kuwa robo ya Omary na Chembe ya Zitto Zuberi, alafu mbona una ID Mbili humu katika hii story??!!!!!
Maybe we should discuss facts and not who went out with who ? Dada wa. FOE
 
Nakumbuka wakati niko Mlimani, mwaka 2002/3 kulitokea Mapinduzi yalishindwa dhidi ya Serikali Halali ya Wanachuo iliyokuwa chini ya Rais Francis Kayombo! <br />
<br />
Najiulizaga what was the Motive Behind that mapinduzi na nani waliokuwa Nyuma ya yale Mapinduzi(Ambayo hata hivyo hayakufanikiwa)? Mkuu Waberoya nadhani ulikuwamo katika ile Serikali iliyokoswa koswa kupindulia naomba unitoe Kizani
Wazee ninapoisoma thread hii, ndio nafunguka macho na kujisikia vibaya sana kwa vile na mimi nilikuwa UD kipindi hiki ila nilikuwa too busy kubalance academic na ujasilimali hivyo sikushiriki kabisa politics za Daruso, my honest opinion niliwaona wanavugu vugu karibu wote wa Daruso kama vi puppets fulani hivi, huku wengine wakiitumia Daruso kuganga njaa.

Sasa nikiwaangalia kina Zitto walipo na baadhi yao, ndipo nimerealize kuwa kama una any political ambition na ukasoma UD bila kushiriki siasa za chuo, was a missed opportunity.
There is no too late on anything, and better late than never although sometimes things turns so fast such that decisions comes too little too late!.

Hongereni sana wanaharakati wa Daruso wa enzi hizo.
 
Maybe we should discuss facts and not who went out with who ? Dada wa. FOE

What do you mean by the facts? may be you do not understand well what does that word mean, you sentence is contradicting itself; it seems there is some thing you intended to express but you can not give its context in English or Anglo-language try Kiswahili!
 
Hii chai yako haijakaa vizuri umetia sukari sna wewe hauna uwezo huo; we ni mtu wa wanawake inasemekana ulikuwa Biz na mtoto mmoja wa Kike Mkerewe babae akiwa Lecturer UDSM; sidhani kama unaweza kuwa robo ya Omary na Chembe ya Zitto Zuberi, alafu mbona una ID Mbili humu katika hii story??!!!!!

sikumbuki kutaka kujilinganisha na Omary wala Zitto. Na sihitaji kuwa hata robo ya Omary au chembe ya Zitto. Ni mjadala ambao hauna tija. Ingekuwa rahisi ukianzisha thread yako ya "Albert ni mtu wa wanawake na alikuwa anatoka na Mkerewe ambaye baba yake alikuwa Lecturer".

sina tatizo na maoni yako kwa sababu ni kweli sichukii wanawake hata kidogo.

wakati namaliza maelezo yangu niliandika kwamba wengine wanaweza kusahihisha nilipokosea kwa kumbukumbu au vinginevyo. Unaweza kusahihisha pale nilipokosea. Ni haki yako.
 
Hii chai yako haijakaa vizuri umetia sukari sna wewe hauna uwezo huo; we ni mtu wa wanawake inasemekana ulikuwa Biz na mtoto mmoja wa Kike Mkerewe babae akiwa Lecturer UDSM; sidhani kama unaweza kuwa robo ya Omary na Chembe ya Zitto Zuberi, alafu mbona una ID Mbili humu katika hii story??!!!!!

sikumbuki kutaka kujilinganisha na Omary wala Zitto. Na sihitaji kuwa hata robo ya Omary au chembe ya Zitto. Ni mjadala ambao hauna tija. Ingekuwa rahisi ukianzisha thread yako ya "Albert ni mtu wa wanawake na alikuwa anatoka na Mkerewe ambaye baba yake alikuwa Lecturer".

sina tatizo na maoni yako kwa sababu ni kweli sichukii wanawake hata kidogo.

wakati namaliza maelezo yangu niliandika kwamba wengine wanaweza kusahihisha nilipokosea kwa kumbukumbu au vinginevyo. Unaweza kusahihisha pale nilipokosea. Ni haki yako.

LOL! Alberto Msando you never cease to amaze me! jibu lako lina maana pana sana, kwa kifupi umejibu vizuri sana
 
Historia ni nzuri sana. Nadhani wale tulioshiriki siasa za DARUSO tuandike ili kuweka kumbukumbu. Hata hivyo, mapinduzi yale mimi sikushiriki. Nilisimamishwa masomo kwa kudhani tu kuwa Zitto alishiriki.

Kwanini wakudhanie wewe tu mkuu?
 
LOL! Alberto Msando you never cease to amaze me! jibu lako lina maana pana sana, kwa kifupi umejibu vizuri sana

Nakushukuru ndugu. Unfortunately Alberto Msando has always remained the same except with the bald head and growing gradually old!

Otherwise in all honesty I appreciate your previous email. I gave it a second thought and came to realize that it is always good to hear the opinion of another soul about me. Not everyone will be bold to come up and throw a dirty towel on me and that is a weakness inherent in many friendship. I can say, it is human nature. We can not comfortably tell those we know or friends an ugly thing for the fear of friendship.

I am happy also you think highly of Zitto and Omary who remain my friends. i do the same even if in few occasions I get irky for some things done or said by them. That is what confirms a friendship, the ability to remain friends in disagreements. I will reiterate that I never would try to be them or like them, we both have different paths to take.

Remain blessed.
 
Mapinduzi yalishindikana kwa sababu kulikuwepo na kambi mbili zilizo organize mapinduzi kila moja ikitaka kudhibiti ushindani kutoka kwa kundi lingine. Baadhi ya makamanda walikuwa both camps. Sidhani kama ilikuwa dhahiri kwamba there were two competing camps with common agenda.

Lakini kuropoka kwa yule mtoto wa kimasai ambaye alikuja kuwa famous ndo kulifanya utawala kuweza kuparaganyisha

lakini hebu tafakari, kundi lile la udsm kipindi kile kuanzia kunji la 2001 hadi 2005, ndilo linalo drive mapambano ya mabadiliko tz kwa sasa.
 
In our days wazee wa. FOE lazima upige kura ! Na unasaini kabisaa..hiyo ni 2000 wakati wa Kitila Mkumbo..not sure kama ndio alikuwa presdaa ama vipi?..however personnaly sioni kama a good freedom fighter can be the best kupewa wizara au urais..have watched my share of trade union leaders getting posns and fail..so do the freedom fighters they are needed to get the revolution on bt then step out watching trouble makers..not running the show!

Yaani usipime. Nakuunga mkono kabisa, angalia yaliyomkuta Marmo na anakoelekea Mwakyeme. Ndani ya miezi 2 ya uwaziri huyu siyo yule Mwakyembe aliyekuwa kwenye bodi ya NBC
 
Nilikuwepo siku hiyo wakati nikisoma degree ya kwanza. Nakumbuka aliyetangaza rasmi kuwa Kayombo amepinduliwa ni James Zotto pale Rodney Square na si Msando. Zotto kwa sasa ni Mhadhiri Msaidizi Idara ya Historia na Akilojia pale Mlimani. Kilichofuata katika orodha ya waloisimamishwa masomo baada ya mapinduzi hayo Zotto alikuwemo. Hivyo aliyefanya mapinduzi ni Zotto na si A. Msando. I know zotto si mtu muongeaji sana ila ni mtu anayependa kusema ukweli na hataki kuburuzwa. Masele-PhD candidate Univesrsity of Alberta Canada

Sorry, nilikuwa sijaipitia hii post ndo maana hapo juu nimesema kulikuwa na makundi mawili yaliyo organize mapinduzi. Nikusahihishe lakini, huyo u
zotto alikuja kudakia kipaza sauti tu na ndiyo maana alikuwa kwenye list ya waliosimamishwa pamoja na yule mtoto wa kimasai nimemsahau jina.

uoga wa Alberto kushika kipaza sauti ndiyo sababu pekee, kwa maoni yangu, iliyofanya well planned strategy kushindwa.
 
I am happy also you think highly of Zitto and Omary who remain my friends. i do the same even if in few occasions I get irky for some things done or said by them. That is what confirms a friendship, the ability to remain friends in disagreements. I will reiterate that I never would try to be them or like them, we both have different paths to take.

Remain blessed.

Alberto bana sema ukweli. You never liked zitto kwani ulikuwa unastrategize againgst him kila usiku! Ulikuwa unakusanya evidences againgst him hadi alipotoka madarakani. Problem was, you never liked Ruge either so ulikosa strong insider backing.

Lakini at the end baada ya zitto kutoka madarakani na kufanikiwa kusambaratisha mpango wake wa kumrithisha demu wake madaraka, tofauti zilitoweka. Zitto mwenyewe alijivuna kwamba hana marafiki/maadui wa kudumu bali interest ya kudumu. Huyo Omar by then alikuwa mvuta bangi tu ndo maana hata wakamchana viwembe pale Nkuruma wakati wa kumnadi shemeji yake, Mary mugurusi. Nobody took him serious na ndo maana watu walipuuza human right chapter ya udsm wakati ule kwa sababu tu iliongozwa na Omar.
 
Dahh, vijana wa UDSM, hata wakimaliza chuo wanaendeleza maisha ya Chuoni kumbe.

Wakataka sasa kupindua hadi Serikali ya CHADEMA.

Kumbe Usaliti mbaya sana na ukiuendekeza, utasaliti hata ndugu zako.

Kuna haja ya CHADEMA kuwa makini na hawa vijana waliojifunza kusaliti tangu wakiwa UDSM au sijui chuo gani.
 
Mapinduzi yamekuwa yakitokea Mlimani karibu miaka yote hasa kuanzia miaka ya 1990s mwanzoni. Nimekuwepo pale miaka ya 1990s katikati mpaka karibu na mwisho. Kuna sababu mbili: 1. ni pale serikali iliyochaguliwa na wanafunzi na kuonekana mwiba kwa utawala kununukiwa na utawala baada ya muda kama miezi sita na kushindwa kuwatumikia wanafunzi na kuegemea utawala, 2. ni pale kundi fulani la wanafunzi lilowania uongozi kwa maslahi binafsi na kukosa ridhaa ya kuongoza ufanya mbinu za mapinduzi ili waweze kula bure pale DARUSO bar, kupata mahitaji karibu bure kama accommodation.

Ndio maana kulikuwa na chombo muhimu sana kilichokuwa kinashikisha adabu utawala, ma-lecturer, serikali ya DARUSO, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanafunzi wote, wasaliti na mambo yote yahusuyo maadili ya Kitanzania - chombo hiki kilikuwa kinaiitwa Mzee Punch na logo yake ilikuwa hiyo hapo chini.

View attachment 18612
Hii kitu ilimfanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi atoe machozi baada ya kuchorwa akiwa mtupu!

UDSM bila Mzee Punch.

Poleni sana
 
Wewe mchokozi sana, mapinduzi yaliongozwa na akina Zitto, Ridhwan Kikwete, A.Msando na Omary Lyas

walikuwa wanasema tulishinda kijanja kijanja na hawakuwa na imani na ushindi wetu.

Kumbuka kabla ya Kayombo alikuwepo Rugemarila na kabla ya Ruge alikuwapo injinia mmoja, the war was engineers will never take over the DARUSO again!

Vita baridi au upinzani wa wahandisi na wasio wahandisi ( ambao tulikuwa tunawaita Mangwin) umekuwapo pale miaka mingi sana. cha ajabu hii vita iko mpaka level ya admistartion ya chuo.Utakumbuka walimu wa sociology, lawasa, FASS, Political science huwa hawapendi kabisa kuongozwa na wahandisi, na hii Luhanga alipata shida sana, mpaka kuliwa kichwa wakati anafanya degree ya sheria!

Leo hii Mkandala anafanya madudu hutawasikia wahadhiri wasio wahandisi wakipiga kelele sana!!...ni 'wao'

Back to the maada:

Nilikuwapo wakati kura zinahesabiwa za urais wa Kayombo, sikuona mchezo mchafu. Ila Ruge alimpa shavu Kayombo na hii ikawahudhi baadhi ya watu. na Ruge ndiye aliyesaini mikataba ya bodi ya mikopo hii watu wanayolia leo, sasa hii ikafanya hata Kayombo aliyekuwa supported na Ruge kuonekana kuwa atafuata nyayo zake tu! sasa hii sababu changanya na ule upinzani wa jadi wa maininjia na mangwin basi hapakukalika. Zitto akaenda kutokea bungeni na kuwa kuliongoza bunge la wanafunzi ambapo kupitishwa kwa mawaziri kulikuwa kasheshe pia.

Kayombo ni mhandisi yuko kiwanda cha chai Iringa nadhani ina future ana mpango agombee ubunge kule sijajua kwa chama gani

It was good days, memorable and from that generation today we have good politicians, I mean watu wanaojua siasa sio biashara, ukijua siasa tamu sana unaweza ukawapelekesha watu unavyotaka , na siasa ni hatari sana kama unapata viognozi wenye kujali maslahi yao, basi unaweza ukawapumbaza watu. Personally nimefanya kazi na Zito na Omar Lyas, Kizuri cha zito ambacho huwa nampa shavu, huwa anaquality ya kuangalia mbaaali sana, hili sina wasiwasi naye. Ridhwan nilijua tu alikuwa maneno mengi na misimamo, kama ya akina Zitto na nikajua labda atakuwa kiongozi mzuri, sijaona bado!! A. Msando is another 'animal' in politics sijui yuko wapi.

Our tactic of ushindi ilikuwa kila second year engineering anaenda na watu wawili kupiga kura, tukaenda kuwabembeleza sociology (you know) na haikuwa shida kwa B.com kuwa upande wetu... ule uchaguzi ushindi haukuwa rahisi, lakini kura hazikuchakachuliwa, ILIKUWA TU NI MBINU YA waliotaka kupindua kujitetea katika hilo. HALI ILIKUWA TETE

Marehemu Chachage ndio alituita kundi la serikali na wale waliotaka kutupindua kutusuluhisha na kuweka mambo asawa atleast. Ukweli Kayombo alikuwa na support ya administration si kwa ubaya.

Siyo siri, DARUSO inasaidia sana ku-shape viongozi, kinachotia uchungu viongozi wengi waliopitia DARUSO wako CCM na unajua what is happening there...ufisadi tu

kwani umekumbuka nini mkuu?
Usaliti uko kwenye damu zao.
 
Huu uzi umenikumbusha mbali. Historia umfuata mtu. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na bomu la machozi barabara ya mwenge kuingia udsm.
 
Wazee mnanikumbusha Revolution square
..Revolution...........for ..........
..Revolution...........for .....
..Revolution...........for .....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom