Mapinduzi Yaliyoshindwa ya DARUSO 2002/3

Status
Not open for further replies.

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Nakumbuka wakati niko Mlimani, mwaka 2002/3 kulitokea Mapinduzi yalishindwa dhidi ya Serikali Halali ya Wanachuo iliyokuwa chini ya Rais Francis Kayombo!

Najiulizaga what was the Motive Behind that mapinduzi na nani waliokuwa Nyuma ya yale Mapinduzi(Ambayo hata hivyo hayakufanikiwa)? Mkuu Waberoya nadhani ulikuwamo katika ile Serikali iliyokoswa koswa kupindulia naomba unitoe Kizani
 
Kama Nakumbuka Vizuri Waliogombea nafasi hiyo walikuwa ni

1: Francis Kayombo ( Mhandis) Mgombea Mwenza alikuwa binti wa Sheria

2: Jamaa wa BCOM Simkumbuki jina lake

3: Marry Mugulusi
 
Kuna kijana alikuwa anaitwa Msando kwa sasa sijui yupo wapi. Huyo ndo anaweza kutupatia kilichojiri
 
Kayombo alishinda kwa ujanja ujanja
Aliyeshika nafasi ya pili nakumbuka alikuwa anaitwa DEOGRATIUS MTUI inasemekana kuwa hiki kijamaa ndicho kilikuwa kishindi halisi lakini aliibiwa kura na Zitto kwa nia ya kumsaidia Mugurusi na Kayombo akapeta...

Alberto aliongoza mapinduzi ya kipuuzi akishirikiana na haka kajamaa basi nakumbuka tuliandamana.... Msando are you there? can you tell us what happened?
 
Nilikuwepo siku hiyo wakati nikisoma degree ya kwanza. Nakumbuka aliyetangaza rasmi kuwa Kayombo amepinduliwa ni James Zotto pale Rodney Square na si Msando. Zotto kwa sasa ni Mhadhiri Msaidizi Idara ya Historia na Akilojia pale Mlimani. Kilichofuata katika orodha ya waloisimamishwa masomo baada ya mapinduzi hayo Zotto alikuwemo. Hivyo aliyefanya mapinduzi ni Zotto na si A. Msando. I know zotto si mtu muongeaji sana ila ni mtu anayependa kusema ukweli na hataki kuburuzwa. Masele-PhD candidate Univesrsity of Alberta Canada
 
Mapinduzi yamekuwa yakitokea Mlimani karibu miaka yote hasa kuanzia miaka ya 1990s mwanzoni. Nimekuwepo pale miaka ya 1990s katikati mpaka karibu na mwisho. Kuna sababu mbili: 1. ni pale serikali iliyochaguliwa na wanafunzi na kuonekana mwiba kwa utawala kununukiwa na utawala baada ya muda kama miezi sita na kushindwa kuwatumikia wanafunzi na kuegemea utawala, 2. ni pale kundi fulani la wanafunzi lilowania uongozi kwa maslahi binafsi na kukosa ridhaa ya kuongoza ufanya mbinu za mapinduzi ili waweze kula bure pale DARUSO bar, kupata mahitaji karibu bure kama accommodation.

Ndio maana kulikuwa na chombo muhimu sana kilichokuwa kinashikisha adabu utawala, ma-lecturer, serikali ya DARUSO, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanafunzi wote, wasaliti na mambo yote yahusuyo maadili ya Kitanzania - chombo hiki kilikuwa kinaiitwa Mzee Punch na logo yake ilikuwa hiyo hapo chini.

Picture.JPG
Hii kitu ilimfanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi atoe machozi baada ya kuchorwa akiwa mtupu!
 
Wewe mchokozi sana, mapinduzi yaliongozwa na akina Zitto, Ridhwan Kikwete, A.Msando na Omary Lyas

walikuwa wanasema tulishinda kijanja kijanja na hawakuwa na imani na ushindi wetu.

Kumbuka kabla ya Kayombo alikuwepo Rugemarila na kabla ya Ruge alikuwapo injinia mmoja, the war was engineers will never take over the DARUSO again!

Vita baridi au upinzani wa wahandisi na wasio wahandisi ( ambao tulikuwa tunawaita Mangwin) umekuwapo pale miaka mingi sana. cha ajabu hii vita iko mpaka level ya admistartion ya chuo.Utakumbuka walimu wa sociology, lawasa, FASS, Political science huwa hawapendi kabisa kuongozwa na wahandisi, na hii Luhanga alipata shida sana, mpaka kuliwa kichwa wakati anafanya degree ya sheria!

Leo hii Mkandala anafanya madudu hutawasikia wahadhiri wasio wahandisi wakipiga kelele sana!!...ni 'wao'

Back to the maada:

Nilikuwapo wakati kura zinahesabiwa za urais wa Kayombo, sikuona mchezo mchafu. Ila Ruge alimpa shavu Kayombo na hii ikawahudhi baadhi ya watu. na Ruge ndiye aliyesaini mikataba ya bodi ya mikopo hii watu wanayolia leo, sasa hii ikafanya hata Kayombo aliyekuwa supported na Ruge kuonekana kuwa atafuata nyayo zake tu! sasa hii sababu changanya na ule upinzani wa jadi wa maininjia na mangwin basi hapakukalika. Zitto akaenda kutokea bungeni na kuwa kuliongoza bunge la wanafunzi ambapo kupitishwa kwa mawaziri kulikuwa kasheshe pia.

Kayombo ni mhandisi yuko kiwanda cha chai Iringa nadhani ina future ana mpango agombee ubunge kule sijajua kwa chama gani

It was good days, memorable and from that generation today we have good politicians, I mean watu wanaojua siasa sio biashara, ukijua siasa tamu sana unaweza ukawapelekesha watu unavyotaka , na siasa ni hatari sana kama unapata viognozi wenye kujali maslahi yao, basi unaweza ukawapumbaza watu. Personally nimefanya kazi na Zito na Omar Lyas, Kizuri cha zito ambacho huwa nampa shavu, huwa anaquality ya kuangalia mbaaali sana, hili sina wasiwasi naye. Ridhwan nilijua tu alikuwa maneno mengi na misimamo, kama ya akina Zitto na nikajua labda atakuwa kiongozi mzuri, sijaona bado!! A. Msando is another 'animal' in politics sijui yuko wapi.

Our tactic of ushindi ilikuwa kila second year engineering anaenda na watu wawili kupiga kura, tukaenda kuwabembeleza sociology (you know) na haikuwa shida kwa B.com kuwa upande wetu... ule uchaguzi ushindi haukuwa rahisi, lakini kura hazikuchakachuliwa, ILIKUWA TU NI MBINU YA waliotaka kupindua kujitetea katika hilo. HALI ILIKUWA TETE

Marehemu Chachage ndio alituita kundi la serikali na wale waliotaka kutupindua kutusuluhisha na kuweka mambo asawa atleast. Ukweli Kayombo alikuwa na support ya administration si kwa ubaya.

Siyo siri, DARUSO inasaidia sana ku-shape viongozi, kinachotia uchungu viongozi wengi waliopitia DARUSO wako CCM na unajua what is happening there...ufisadi tu

kwani umekumbuka nini mkuu?
 
Historia ni nzuri sana. Nadhani wale tulioshiriki siasa za DARUSO tuandike ili kuweka kumbukumbu. Hata hivyo, mapinduzi yale mimi sikushiriki. Nilisimamishwa masomo kwa kudhani tu kuwa Zitto alishiriki.
 
Kayombo alishinda kwa ujanja ujanja
Aliyeshika nafasi ya pili nakumbuka alikuwa anaitwa DEOGRATIUS MTUI inasemekana kuwa hiki kijamaa ndicho kilikuwa kishindi halisi lakini aliibiwa kura na Zitto kwa nia ya kumsaidia Mugurusi na Kayombo akapeta...

Alberto aliongoza mapinduzi ya kipuuzi akishirikiana na haka kajamaa basi nakumbuka tuliandamana.... Msando are you there? can you tell us what happened?

Pamoja na kudhurumiwa HAKI ya Ushindi, Mtui kama Dr. Slaa hakufa moyo wala kuhamasisha vurugu. Hekima yake ilimpelekea kuanzisha asasi ya kupambana na RUSHWA ndani ya UDSM. Kama nakumbuka vizuri inaitwa "Combined Efforts Organization Against Corruption-CEOC"
 
Historia ni nzuri sana. Nadhani wale tulioshiriki siasa za DARUSO tuandike ili kuweka kumbukumbu. Hata hivyo, mapinduzi yale mimi sikushiriki. Nilisimamishwa masomo kwa kudhani tu kuwa Zitto alishiriki.

ZT kumbe upo bwana. Mambo vp? Kwanini Waberoya ktk comments zake huwa anamuinclude Ridhiwan kila mara? By the way we had a hot topic about you early this week but u didn't show up.......it's nice to hear from u again.
 
Siyo siri, DARUSO inasaidia sana ku-shape viongozi, kinachotia uchungu viongozi wengi waliopitia DARUSO wako CCM na unajua what is happening there...ufisadi tu kwani umekumbuka nini mkuu?

Mnaanza kujifunza ufisadi huko. Ndiyo maana mpaka leo mnajenga urafiki na mafisadi.
 
Mbona mnamsahau Mnyika John tuliyemsimika Urais pale Nkuruma hall kabla mapinduzi hayajafanikiwa? mshkaji alitushawishi kwa kupanga hoja mpaka tukamkubali, si mnamuona sasa anavyotisha Ubungo!
 
Mbona mmetoweka jamani kutumia makini halisi raha yaani sijui na mm niingie na langu yaani kubadilishana maneno mkijuana ina utamu wake bwana
 
Wewe mchokozi sana, mapinduzi yaliongozwa na akina Zitto, Ridhwan Kikwete, A.Msando na Omary Lyas

walikuwa wanasema tulishinda kijanja kijanja na hawakuwa na imani na ushindi wetu.

Kumbuka kabla ya Kayombo alikuwepo Rugemarila na kabla ya Ruge alikuwapo injinia mmoja, the war was engineers will never take over the DARUSO again!

Vita baridi au upinzani wa wahandisi na wasio wahandisi ( ambao tulikuwa tunawaita Mangwin) umekuwapo pale miaka mingi sana. cha ajabu hii vita iko mpaka level ya admistartion ya chuo.Utakumbuka walimu wa sociology, lawasa, FASS, Political science huwa hawapendi kabisa kuongozwa na wahandisi, na hii Luhanga alipata shida sana, mpaka kuliwa kichwa wakati anafanya degree ya sheria!

Leo hii Mkandala anafanya madudu hutawasikia wahadhiri wasio wahandisi wakipiga kelele sana!!...ni 'wao'

Back to the maada:

Nilikuwapo wakati kura zinahesabiwa za urais wa Kayombo, sikuona mchezo mchafu. Ila Ruge alimpa shavu Kayombo na hii ikawahudhi baadhi ya watu. na Ruge ndiye aliyesaini mikataba ya bodi ya mikopo hii watu wanayolia leo, sasa hii ikafanya hata Kayombo aliyekuwa supported na Ruge kuonekana kuwa atafuata nyayo zake tu! sasa hii sababu changanya na ule upinzani wa jadi wa maininjia na mangwin basi hapakukalika. Zitto akaenda kutokea bungeni na kuwa kuliongoza bunge la wanafunzi ambapo kupitishwa kwa mawaziri kulikuwa kasheshe pia.

Kayombo ni mhandisi yuko kiwanda cha chai Iringa nadhani ina future ana mpango agombee ubunge kule sijajua kwa chama gani

It was good days, memorable and from that generation today we have good politicians, I mean watu wanaojua siasa sio biashara, ukijua siasa tamu sana unaweza ukawapelekesha watu unavyotaka , na siasa ni hatari sana kama unapata viognozi wenye kujali maslahi yao, basi unaweza ukawapumbaza watu. Personally nimefanya kazi na Zito na Omar Lyas, Kizuri cha zito ambacho huwa nampa shavu, huwa anaquality ya kuangalia mbaaali sana, hili sina wasiwasi naye. Ridhwan nilijua tu alikuwa maneno mengi na misimamo, kama ya akina Zitto na nikajua labda atakuwa kiongozi mzuri, sijaona bado!! A. Msando is another 'animal' in politics sijui yuko wapi.

Our tactic of ushindi ilikuwa kila second year engineering anaenda na watu wawili kupiga kura, tukaenda kuwabembeleza sociology (you know) na haikuwa shida kwa B.com kuwa upande wetu... ule uchaguzi ushindi haukuwa rahisi, lakini kura hazikuchakachuliwa, ILIKUWA TU NI MBINU YA waliotaka kupindua kujitetea katika hilo. HALI ILIKUWA TETE

Marehemu Chachage ndio alituita kundi la serikali na wale waliotaka kutupindua kutusuluhisha na kuweka mambo asawa atleast. Ukweli Kayombo alikuwa na support ya administration si kwa ubaya.

Siyo siri, DARUSO inasaidia sana ku-shape viongozi, kinachotia uchungu viongozi wengi waliopitia DARUSO wako CCM na unajua what is happening there...ufisadi tu

kwani umekumbuka nini mkuu?
Kwa Kayombo hapo hausemi ukweli. Kayombo ni mtu wa Watawala. Na hata akigombea uchaguzi leo hii sitashangaa kama atajitokeza kwa tiketi ya CCM. Hawezi kujaribu kuwa against watawala. Naongea hivi kwa sababu ni mtu ambaye nimesoma naye o-level, A-level na hatimaye UDSM.
 
Historia ni nzuri sana. Nadhani wale tulioshiriki siasa za DARUSO tuandike ili kuweka kumbukumbu. Hata hivyo, mapinduzi yale mimi sikushiriki. Nilisimamishwa masomo kwa kudhani tu kuwa Zitto alishiriki.

Kaka inawezekana haukushiriki ila influence yako ilikuwa kubwa sana, pole sana kwa kusimamishwa masomo, na asante kwa hii info,but no one have ever told me different story, apart that you were masterminding every move! LOL! nimeipokea hii kaka

Vijana wa chuo mna mambo sana. Nfanyia kazi hoja hii ya Zitto ya kuweka kumbukumbu kwa vijana wangu kisha nitarusha mkanda mzima hapa. Muda hautakuwa mrefu.

Sawa ila uulize vizuri hasa muhusika mmoja mmoja,usije ukaweka recodi zetu za simu za miaka 7 iliyopita,mpaka ile simu niliyompigia bibi yangu kumuuliza kama yule bata wangu anataga mayai!!

ZT kumbe upo bwana. Mambo vp? Kwanini Waberoya ktk comments zake huwa anamuinclude Ridhiwan kila mara? By the way we had a hot topic about you early this week but u didn't show up.......it's nice to hear from u again.

He! JF kata bwana! kila mara nina-muiinclude Ridhwan!

Mnaanza kujifunza ufisadi huko. Ndiyo maana mpaka leo mnajenga urafiki na mafisadi.

Itafikia muda hautamuamini kila mtu-mpaka wewe mwenyewe,achilia mbali mama yako!

Kwa Kayombo hapo hausemi ukweli. Kayombo ni mtu wa Watawala. Na hata akigombea uchaguzi leo hii sitashangaa kama atajitokeza kwa tiketi ya CCM. Hawezi kujaribu kuwa against watawala. Naongea hivi kwa sababu ni mtu ambaye nimesoma naye o-level, A-level na hatimaye UDSM.

Kama unasema atagombea kwa njia ya CCM , ni wewe umesema! mimi sijui hilo na sijaona kama nimedanganya ,na ni haki yake kugombea kwa chama chochote kile kikiwamo changu nitakachoanzisha hivi karibuni! sijaona discussion hapa
 
Wewe mchokozi sana, mapinduzi yaliongozwa na akina Zitto, Ridhwan Kikwete, A.Msando na Omary Lyas

walikuwa wanasema tulishinda kijanja kijanja na hawakuwa na imani na ushindi wetu.

Kumbuka kabla ya Kayombo alikuwepo Rugemarila na kabla ya Ruge alikuwapo injinia mmoja, the war was engineers will never take over the DARUSO again!

Vita baridi au upinzani wa wahandisi na wasio wahandisi ( ambao tulikuwa tunawaita Mangwin) umekuwapo pale miaka mingi sana. cha ajabu hii vita iko mpaka level ya admistartion ya chuo.Utakumbuka walimu wa sociology, lawasa, FASS, Political science huwa hawapendi kabisa kuongozwa na wahandisi, na hii Luhanga alipata shida sana, mpaka kuliwa kichwa wakati anafanya degree ya sheria!

Leo hii Mkandala anafanya madudu hutawasikia wahadhiri wasio wahandisi wakipiga kelele sana!!...ni 'wao'

Back to the maada:

Nilikuwapo wakati kura zinahesabiwa za urais wa Kayombo, sikuona mchezo mchafu. Ila Ruge alimpa shavu Kayombo na hii ikawahudhi baadhi ya watu. na Ruge ndiye aliyesaini mikataba ya bodi ya mikopo hii watu wanayolia leo, sasa hii ikafanya hata Kayombo aliyekuwa supported na Ruge kuonekana kuwa atafuata nyayo zake tu! sasa hii sababu changanya na ule upinzani wa jadi wa maininjia na mangwin basi hapakukalika. Zitto akaenda kutokea bungeni na kuwa kuliongoza bunge la wanafunzi ambapo kupitishwa kwa mawaziri kulikuwa kasheshe pia.

Kayombo ni mhandisi yuko kiwanda cha chai Iringa nadhani ina future ana mpango agombee ubunge kule sijajua kwa chama gani

It was good days, memorable and from that generation today we have good politicians, I mean watu wanaojua siasa sio biashara, ukijua siasa tamu sana unaweza ukawapelekesha watu unavyotaka , na siasa ni hatari sana kama unapata viognozi wenye kujali maslahi yao, basi unaweza ukawapumbaza watu. Personally nimefanya kazi na Zito na Omar Lyas, Kizuri cha zito ambacho huwa nampa shavu, huwa anaquality ya kuangalia mbaaali sana, hili sina wasiwasi naye. Ridhwan nilijua tu alikuwa maneno mengi na misimamo, kama ya akina Zitto na nikajua labda atakuwa kiongozi mzuri, sijaona bado!! A. Msando is another 'animal' in politics sijui yuko wapi.

Our tactic of ushindi ilikuwa kila second year engineering anaenda na watu wawili kupiga kura, tukaenda kuwabembeleza sociology (you know) na haikuwa shida kwa B.com kuwa upande wetu... ule uchaguzi ushindi haukuwa rahisi, lakini kura hazikuchakachuliwa, ILIKUWA TU NI MBINU YA waliotaka kupindua kujitetea katika hilo. HALI ILIKUWA TETE

Marehemu Chachage ndio alituita kundi la serikali na wale waliotaka kutupindua kutusuluhisha na kuweka mambo asawa atleast. Ukweli Kayombo alikuwa na support ya administration si kwa ubaya.

Siyo siri, DARUSO inasaidia sana ku-shape viongozi, kinachotia uchungu viongozi wengi waliopitia DARUSO wako CCM na unajua what is happening there...ufisadi tu

kwani umekumbuka nini mkuu?

Kama unasema atagombea kwa njia ya CCM , ni wewe umesema! mimi sijui hilo na sijaona kama nimedanganya ,na ni haki yake kugombea kwa chama chochote kile kikiwamo changu nitakachoanzisha hivi karibuni! sijaona discussion hapa
Hapa ninamaana njema kabisa kama wewe ulivyoonyesha hapo. Kayombo kuwa ni mtu wa watawala na hayupo tayari kuona wanapingwa. Muulize mgomo uliyotokea wakati yupo Njombe sekondari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom