Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
In the middle
alsaidy,
Samahani sana lakini Ghassany kachakachua historia. Huwezi kuandika historia based on heresay.
Baadae walimrejesha kwao Uganda na kwa vile alikuwa na reputation ya kufanya Mapinduzi (theory mpya kwa wakati ule) basi alipokewa kwa suspicion kubwa sana hata huko kwao Uganda. Maisha hayakuwa mazuri kwake na baadae inasemekana alifariki.
Hilo nalo neno! Kwanini historia ya Tanzania inapindishwa karibu kila eneo?maprofessa mahiri wetu mko wapi kwa historia ya kweli,upo wapi haroub othman,proffesa mazrui, baregu na wengine tele wasomi..wanazuoni.
Historia ya mataifa yetu hapa afrika mashariki imepindishwa ,andileni upya.....
kwa nini tunawafundisha watoto ...uwongo..
Jasusi, at this stage nani atakuwa na historia ya kweli? Kitabu cha Ghassany sijakisoma chote lakini wengi wa aliowafanyia interview walikuwa wameshuhudia hayo mapinduzi na baadhi walishiriki.Nadhani katika wanamapinduzi original basi ni Ramadhani Haji tu ndiye aliye hai na hivi sasa ni mzee sana na akili zimeshakimbia.
Okello alikuwa kibarua mchonga mawe tu na ushahidi upo mpaka leo nenda pale soko la Chake Chake yale mawe ya kuchongwa yaliyowekwa ni kazi ya Okello. Yeye hakuwa Mzanzibari by any standard (hata hiyo ya kikoloni) na alikuja kama kibarua. Kuna Mzee mmoja sasa hivi marehemu aliwahi kunieleza vipi Okello alipata ile tetesi ya matayarisho ya Mapinduzi. Inasemekana alisikia watu wanasema siri zao na yeye akasema yuko tayari kujiunga ili kumpinga Mwarabu. Alilazimisha kujiunga na kwa kuogopa siri isije kutoka basi ikabidi wamuingize kwenye mpango huo. Bahati yake ni kwamba yeye aliwahi kuwa askari huko anakotoka ijapokuwa hajawahi kukubali hata siku moja (soma kitabu chake).
Alizidisha vitisho kila mtu alitaka kumchapa viboko elfu tisa, mia tisa na tisini na tisa (soma kitabu chake) mpaka ikawa hamkani Zanzibar hakukaliki ni viboko tu. Sasa kama mtu mwenyewe siyo raia si afukuzwe tu.
Ukisoma kitabu cha Clayton utaona kwamba mpango wa kumuondoa ulipangwa na Karume na Nyerere kwa pamoja, kwani aliambiwa anaitwa Tanganyika na alipoondoka tu basi huku nyuma aliambiwa asikanyage Zanzibar kwa vile si raia. Alipofika Dar akaambiwa yeye si raia na hatakiwi hapo, akaishia Kenya ambako aliwekwa Shimo la Udongo wakati mipango ya kumrejesha kwao Uganda inaendelea.
Baadae walimrejesha kwao Uganda na kwa vile alikuwa na reputation ya kufanya Mapinduzi (theory mpya kwa wakati ule) basi alipokewa kwa suspicion kubwa sana hata huko kwao Uganda. Maisha hayakuwa mazuri kwake na baadae inasemekana alifariki.
.........Okello then stayed in Kenya, in Congo-Kinshasa and in Uganda. He was incarcerated multiple times and was last seen with the Ugandan president Idi Amin in 1971 and vanished afterwards. In the book "Revolution on Zanzibar", written by Don Petterson, it is more or less assumed that Idi Amin saw him as a threat (after Amin promoted himself, Okello reportedly joked that "now Uganda has two field marshals") and had arranged his assassination. This remains speculative, however.
Kuna wengine wawili waliosahauliwa, hawa ni Robert Makange na jamaa mwingine akiitwa Baghdelah walifungwa jela na mkoloni katika harakati za uhuru.Wakati huo huo tusisahau kuwa wengine ambao tunalazimishwa kuwasahau ni
Abdulwahid na Ally Sykes, Hamza Mwapachu, Tewa Said Tewa,Ali Migeyo , Suedi Kagasheki,Dossa Azizi,Abdulkarim Karimjee,Chifu Abdieli Shangali wa Machame, Kleist Sykes,Ally Sykes na Abdulwahid Sykes
kwa uchache sasa huyo Okello alikwa ni just one in a million na at least eyey leo anazungumzwa,
umenikumbusha mbali sana haya majina...kn wanaosema waislam ndiyo walianza harakati za kudai uhuru? nisaidieni maana kuna jamaa yangu mmoja ana udini sana hasa katika suala la historia ya uhuru..
Mmimi nimesoma kile kitabu Cha JOHN OKELLO, hawa akina Karume hawana cha kujivunia pale inasikitisha sana tena sana jamaa walichomfanyia