Mapinduzi ya bunge njiani

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Kuna kila dalili kuwa Bunge la Kumi likapinduliwa na kuitishwa uchaguzi Mkuu wa Bunge.Hii inatokana na kiburi kinachooneshwa na Wabunge pamoja na Spika wao kuendelea kuujadili Muswada wa Katiba wakati umma hauko tayari kwa hilo.Mambo hayo hayako mbali.CHADEMA,NCCR-Mageuzi,Jukwaa la Katiba na wanaharakati wengine hawatakuwa viongozi wa mapinduzi hayo.
 
Kuna kila dalili kuwa Bunge la Kumi likapinduliwa na kuitishwa uchaguzi Mkuu wa Bunge.Hii inatokana na kiburi kinachooneshwa na Wabunge pamoja na Spika wao kuendelea kuujadili Muswada wa Katiba wakati umma hauko tayari kwa hilo.Mambo hayo hayako mbali.CHADEMA,NCCR-Mageuzi,Jukwaa la Katiba na wanaharakati wengine hawatakuwa viongozi wa mapinduzi hayo.
Analysis ya Kilabuni wanakouza UGIMBI
 
Suala langu ni la dharura sana.Hodi ingenichelewesha.Ni kama aliyeshikwa na tumbo la kuhara halafu akauona mlango wa msalani...akirudi ndo atasalimu
Umepiga hodi???????????????????<br>
<br>
Join Date : 17th November 2011<br>
Posts : 1<br>
Rep Power : &nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;&nbsp;0
<br>
<br>
 
Kuna kila dalili kuwa Bunge la Kumi likapinduliwa na kuitishwa uchaguzi Mkuu wa Bunge.Hii inatokana na kiburi kinachooneshwa na Wabunge pamoja na Spika wao kuendelea kuujadili Muswada wa Katiba wakati umma hauko tayari kwa hilo.Mambo hayo hayako mbali.CHADEMA,NCCR-Mageuzi,Jukwaa la Katiba na wanaharakati wengine hawatakuwa viongozi wa mapinduzi hayo.

Mkuu, karibu sana jamvini kwa great thinkers. Naona umeuanza upya wako kwa thread ya ajabu! Kwa katiba ya TZ, bunge huwa halipinduliwi, bali huvunjwa na uongozi wa juu kabisa (Rais) au kwa mujibu wa sheria angalia Ibara ya 65, na 90(2),(3) na (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2005. Kwa kukusaidia angalia uk. 61 na uk. 81-82. Pole sana, mwanzo siku zote huwa ni mgumu.
 
Nilitaka kuchangia huu uzi lakini nimeghairi, baada ya kuhisi harufu kali ya maziwa yakiambatana na uzi huu!
 
Kuna kila dalili kuwa Bunge la Kumi likapinduliwa na kuitishwa uchaguzi Mkuu wa Bunge.Hii inatokana na kiburi kinachooneshwa na Wabunge pamoja na Spika wao kuendelea kuujadili Muswada wa Katiba wakati umma hauko tayari kwa hilo.Mambo hayo hayako mbali.CHADEMA,NCCR-Mageuzi,Jukwaa la Katiba na wanaharakati wengine hawatakuwa viongozi wa mapinduzi hayo.
Jenga hoja na siyo kupost vitu ambavyo havieleweki ukadhani utakuwa supported.
 
Leo kiongozi kutoka magogoni ataongea na wazee wa Dar. Huenda akalivunja rasmi maana halina tija na limekosa mwelekeo.
 
Mapinduzi Ndugu hayafuati Sheria.Katiba itaangalia tu mambo yakifanyika bila msaada wa Ibara ulizozitaja.
Mkuu, karibu sana jamvini kwa great thinkers. Naona umeuanza upya wako kwa thread ya ajabu! Kwa katiba ya TZ, bunge huwa halipinduliwi, bali huvunjwa na uongozi wa juu kabisa (Rais) au kwa mujibu wa sheria angalia Ibara ya 65, na 90(2),(3) na (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 2005. Kwa kukusaidia angalia uk. 61 na uk. 81-82. Pole sana, mwanzo siku zote huwa ni mgumu.
 
ni ushauri tuu kwa wana JF
usimdharau usiemjuaa
usikibeze usichokielewa
na ugeni wa mtu hapa jukwaani isiwe kipimo cha mada yake.
na pia ukiona mada huna la kuchangia achana nayo.
ni ushauri wangu tuu kwa wote waliobeza.
 
Mapinduzi Ndugu hayafuati Sheria.Katiba itaangalia tu mambo yakifanyika bila msaada wa Ibara ulizozitaja.

Mkuu, kweli wewe ni mpya kiasi kwamba hata muundo wa utawala wa nchi huujui. Bunge kamwe haliwezi kupinduliwa, labda ulimaanisha serikali? Kweli kazi ipo. wahenga walisema "He who knows not, and knows not that he knows not, is a big simpleton". Pole sana
 
Kwani mapinduzi ni nini? Kipi kinaweza kupinduliwa? Acha kuleta Uanasheria wako hapa.Kwanza mi Senior kuliko wewe.Soma vizuri hoja yake kabla hujaandika.Kila chombo cha Kikatiba chaweza kupinduliwa.Mapinduzi ni kusema:kuanzia sasa Katiba haitumiki yote au sehemu yake.Upo hapo? Kuwa makini kijana...
Mkuu, kweli wewe ni mpya kiasi kwamba hata muundo wa utawala wa nchi huujui. Bunge kamwe haliwezi kupinduliwa, labda ulimaanisha serikali? Kweli kazi ipo. wahenga walisema "He who knows not, and knows not that he knows not, is a big simpleton". Pole sana
 
poleni sana ,naona mnalumbana kama walevi.......Katiba itatengenezwa na Watanzania wenyewe bila kutumia vibaraka waKijerumani au Cameron
 
Back
Top Bottom