kama mimi ndiye ningekuwa JK (Rais)kwanza ningemtia adabu huyo bosi aliyewapa kazi hao jamaa wa kampuni ya mnada kwa kumfunga jela miaka 100 na kumnyang'anya viwanja vyote alivyonavyo. Pili ningewatia adabu hao jamaa wa kampuni ya mwangata...sijui mwangaza kwa kosa la kuwaajiri mabaunsa ili kwenda kuwaonea wananchi kwa maslahi ya fisadi mmoja tu....hiyo kampuni ningeifunga milele na wahusika wote wangeenda kunyea debe miaka 100 bila msamaha. Lakini ninavyomjua kikwete....hapo atabaki kuchekacheka tu na akuna action yoyotekwa wale wakristo wanafahamu kuwa laana ya kiongozi inaweza kukupata mwananchi wa kawaida....hii ni laana,mbona mambo haya hayajawahi tokea huko nyuma? Katika tukio hili watu wafuatao hawawezi kukwepa lawama
Utashangaa baada ya tukio hilo,hakuna ata kiongozi atakayeonyesha kuumia wala kusikitika..na kama wakisikitika watakuwa ni wanafiki wasio na aya...
- Watu wa ardhi
- Viongozi wa halmashauri
- Viongozi wa Kijiji,mtaa,kata nk
ARNACHISTs wanakuambia wazi kabisa kuwa "HAKI HAIOMBWI ILA INAPIGANIWA............"
Haki kwa Tanzania kwa sasa INANUNULIWA. Wenye PESA wameiteka.
Kama Tanzania inataka HAKI (Dalili zimeanza kuonyesha kuwa INAANZA KUDAI HAKI), basi huu ni mwanzo.
Kama mambo hayatabadilika na hasa KATIBA MPYA, basi kuna MAUWAJI mengi sana yanakuja.
Damu itamwagika na tutamwaga woote yaani Wageni wawekezaji/Wezi, Mafisadi, Viongozi na Watanzania wa kawaida.
Mambo mengine lazima yatokee ili miungu watu wageuke na kuwa binadamu.
Tangu enzi za Adamu, DAMU imetumika kusafisha dhambi. Msitegemee Tanzania itakuwa tofauti.
kama mimi ndiye ningekuwa JK (Rais)kwanza ningemtia adabu huyo bosi aliyewapa kazi hao jamaa wa kampuni ya mnada kwa kumfunga jela miaka 100 na kumnyang'anya viwanja vyote alivyonavyo. Pili ningewatia adabu hao jamaa wa kampuni ya mwangata...sijui mwangaza kwa kosa la kuwaajiri mabaunsa ili kwenda kuwaonea wananchi kwa maslahi ya fisadi mmoja tu....hiyo kampuni ningeifunga milele na wahusika wote wangeenda kunyea debe miaka 100 bila msamaha. Lakini ninavyomjua kikwete....hapo atabaki kuchekacheka tu na akuna action yoyote
Imani bila matendo imekufa.No more bloodshed for Tanzanians. I declare peace, justice and good life for all Tanzanians. I am reversing your confession in the Mighty Name of Jesus Christ. Amen
Kidatu,Ninalaani vikali mauaji hayo, na ninawapa pole wafiwa na wale wote walioumia tokana na vurugu hizo. Ila hakuna sababu ya msingi ya kumtupia lawama Jakaya Kikwete. Ugomvi wa ardhi umekuwepo toka enzi na enzi ndani ya Tanzania. Kumbukeni kule Mara - Musoma, wakurya wamekuwa wakichinjana kwa ajili ya ardhi toka enzi za Nyerere. Kule Kilombero nako watu walipigana vikali na wengi kupoteza maisha enzi za Nyerere. Mbona Nyerere hakulaumiwa kwa mapigano yale?.
Imani bila matendo imekufa.
Yakobo 1: 14 - 17
14 Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa? *
15 Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula. *
16 Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: "Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?
17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.
Wape watu haki yao, hii mijadala na habari kama hizi hutasikia...
Serikali ya Kikwete. Nyumba 26 za waathirika wa mabomu zinajengwa kwa gharama ya sh.96, 000, 000 zote pamoja.
Nimesikitishwa sana na vifo vya hao waliouwawa kikatili,,,,,,,, i think its about time serikali ione hii nguvu ya uma uliochoka na kuanza kuwapa uma haki yao,
......wananchi tumechoka tena tumechoka sana,,,,,,
Nilisikia watu wakizungumza kariakoo hivi....... ipo siku tutakuja kuwauwa kwa mikono yetu hao wanaongoza nchi wanavyotaka kina rostam azizi, manji na lowasa ili tupate haki zetu..........
Ukweli ni kwamba hatuna serikali. Tuna genge la mafisadi tu wanao masquarade kama watawala.Serikali ni heri ikaliona hili la Tegeta katika macho tofauti!
Watu waliochoka(na chochote kile) wanahitaji only a slight spark ya kuwa fanya kuwa uncontrollable.
Amani, umoja na mshikamano tunaouongelea bila haki za kimsingi kwa mwananchi wa kawaida ni kujidanganya.
Kama yametokea Tegeta tukae chonjo!!!
Its a sign of things to come.
duh iyo ni kali,bt yasemekana police waliitwa ,hawakufika ktk mda ule ,na majibu waliokua wanatoa hayaridhishi so w2 wakajichukulia hatua mkonon,
No more bloodshed for Tanzanians. I declare peace, justice and good life for all Tanzanians. I am reversing your confession in the Mighty Name of Jesus Christ. Amen