Mbaneingoma Zom
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 201
- 14
Hiyo ndo nguvu ya umma na huu ni mwanzo tu tutaendelea kupinga aina yoyote ya uonevu, eti kwa sababu hatuana pesa saasa tumefika kikomo!!Waliokwenda kuvunja nyumba walizidiwa nguvu na wananchi.