MAPICHA: MTV party at Maisha club

attachment.php


Diamod alitoka kama hayati nguli wa pop duniani Michael Jackson....


Hahahahahaaaaaaaaaa:eek: uuuwiii
 
Ila nadhani siku ikitokea sirikali ikiruhusu akina dada wavae watakavyo, nadhani vyandarua vya Bush vitashonwa magauni na sketi. Maana naona kama nguo zenye adabu zinawanyima uhuru wa kujiachia! Wanapenda wakae pachu pachu tu!
 
Back
Top Bottom