MAPICHA: MTV party at Maisha club

Hiyo shanga na kipepeo mie hoiiii na huyo kwa kulia nae yuko tight kinoma!
attachment.php


attachment.php


Ohh eti majuu hamnazo....SIKU HIZI HATA BONGO HAMNAZO...HATA KM NI BIASHARA,SI BORA UENDE KM ULIVYOZALIWA KIELEWEKE....
 
jamani hash,,,,kila nipitapo pabaya nakuon wew habiby wangu mashakil yote unayo wew sasa kwanini ulinipokea bas????mimi ntalalamika mpaka mwisho wangu kwa ufanyayo sasa kipepeo chanini wapiga kazi huku wakiona kazi gani uifanyayo nyuma mpaka uone yaa raab muongoze mja wako huyu la ila ha ila llah!!!tahadhari hash mapenzi yang yapungua japo nakuamini na kukujali kiasi napita yanga mbaya kukutoa wewe,,,,
hicho kipepeo tu dah! unapiga mambo huku unaona kipepeo
 
Hakuna haja ya kwenda paris eti ndo kuna kila kitu,bongo we kuwa na hela yako tu,maisha kama huko majuu bwana!!!!!!!!
 
jamani hash,,,,kila nipitapo pabaya nakuon wew habiby wangu mashakil yote unayo wew sasa kwanini ulinipokea bas????mimi ntalalamika mpaka mwisho wangu kwa ufanyayo sasa kipepeo chanini wapiga kazi huku wakiona kazi gani uifanyayo nyuma mpaka uone yaa raab muongoze mja wako huyu la ila ha ila llah!!!tahadhari hash mapenzi yang yapungua japo nakuamini na kukujali kiasi napita yanga mbaya kukutoa wewe,,,,
Dada hili ni shairi la kimahaba au lah maana kiswahili chako kigumu??
 
Jamani naomba kufahamishwa, hivyo vidole viwili vina maana gani? Naona siku hizi picha nyingi watu wananyoosha vidole viwili...
 
anikera huyu hash sasa mi nifanyeje kama si kulalamika,,,kiswahili changu kigumu kwani,??,,,wajua kwa vile sina practise sana zaidi ya humu jf na house maid wetu mswahili kaondoka kitambo alinisaidia sana kujua lugha hii sahihi kwani nilikua sifai kutamka siwezi sawasawa lakini kuandika alhamdulillah nashkuru kama nikiandika sivyo please naomba kusahihishwa nahitaji msada kukosa ndio kujua,au siyo el toro????
Dada hili ni shairi la kimahaba au lah maana kiswahili chako kigumu??
 
alam ya shetani hiyo najua..
Haya mambo ya kuiga alama bila kufahamu maana yake! Niliwahi kuambiwa kuwa hii style ya kushusha suruali (al-maarufu kata-k) miaka ya nyuma ilikuwa na maana ya mwanaume shoga. Imagination yangu nilinipa picha kuwa suruali imeshushwa tayaritayari kwa... Nilicheka sana nikifikiria hawa vijana wangejua!
 
u make me funny tax,,,,
Haya mambo ya kuiga alama bila kufahamu maana yake! Niliwahi kuambiwa kuwa hii style ya kushusha suruali (al-maarufu kata-k) miaka ya nyuma ilikuwa na maana ya mwanaume shoga. Imagination yangu nilinipa picha kuwa suruali imeshushwa tayaritayari kwa... Nilicheka sana nikifikiria hawa vijana wangejua!
 
Back
Top Bottom