JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 497
hali ni ngumu jamani..wengine wanaongea ivo ivo wanachanganya na kiswahili humo humo..sasa hapo tunajenga taifa ambalo halijui kiswahili wala kingereza!
habari za hang'over lakini (offtopic)
Mie wala sikugusa kabisaaaaaaaa