First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
- Thread starter
- #41
<br />Hivi kwani ukipenda ndo inakuwa mwisho wa kutamani???
<br />
ukijiendekea tamaa we ndo utakuwa wa kuogopwa.
<br />Hivi kwani ukipenda ndo inakuwa mwisho wa kutamani???
Haiwezekani kumchukia mtu bila sababu...<br />
<br />
basi unaweza kumchukia mumeo bila sababu, hata kama hajafanya kosa we ni out of mind.
<br /><br /><br />
<br /><br />
addicted to wasiwasi..mmh!<br />
Hapana, utakuwa makini usiingie hovyo hovyo kwenye mahusiano.
<br />Haiwezekani kumchukia mtu bila sababu...
Nimeuliza swali bt haimaanishi mimi natamani. Manake kuna watu wana penda na bado wanakuwa na tamaa, tuwaweke kwenye fungu gani?<br />
<br />
ukijiendekea tamaa we ndo utakuwa wa kuogopwa.
<br />Nimeuliza swali bt haimaanishi mimi natamani. Manake kuna watu wana penda na bado wanakuwa na tamaa, tuwaweke kwenye fungu gani?
This is well said, japokuwa duh, ukitendwa hapo it costs a lot in your life.<br />
<br />
hahahaha! First born hili lisredi lisije likawa la fre style. Lol.
B2T: Mapenzi hayatabiriki. Yupi mkweli yupi muongo huwezi kujua. Kikubwa kama unahisi moyo wako umempenda flani, mpende bila kuhofu kutendwa. Hizi hofu tunazozijenga ndio huwa chanzo kikubwa cha usaliti maana tunapenda robo robo tukihofia kutendwa.