<br /><br /><br />
<br /><br />
wasiwasi unakuwepo ila ni bora kuwa na wasiwasi kabla hujaingia kwenye mahusiano (itakufanya uwe makini ) kuliko unakuwa na wasiwasi wakati tayari upo ndani ya mahusiano.
Nasamehe ila kidonda kinakuwa hakiponi. Kidonda cha kutendwa achana nacho, hakiponi haraka...hakitibiki hata kwa miti shamba...<br />
<br />
sasa ukitendwa dawa ni nini?
<br />mhh kweli hii ni free style,penda unapopendwa
Hapo sasa! Ni ngumu sana kupajua unapopendwa...<br />
<br />
utapajuaje ulipopendwa wakati ukweli uko ndani ya moyo wa mwenzio?
<br />Hapo sasa! Ni ngumu sana kupajua unapopendwa...
<br />Nasamehe ila kidonda kinakuwa hakiponi. Kidonda cha kutendwa achana nacho, hakiponi haraka...hakitibiki hata kwa miti shamba...
Kuacha kumwamini binadamu mwenzio!..<br />
<br />
solution?
Ukiweza itakuwa afadhali sana!<br />
<br />
sasa si bora tusipende kabisa?
<br />Ukiweza itakuwa afadhali sana!
Mume pia ni binadam mwenzangu...<br />
<br />
hata mumeo?
Kivipi?<br />
<br />
utakuwa unajidanganya.
<br />Mume pia ni binadam mwenzangu...
<br />Kivipi?
Hayo maneno yanabaki kuwa maneno, najiamini ila yeye ndo simwamini kwa asilimia 50..<br />
<br />
wakati wa kufungishwa ndoa uliambiwa mmekuwa mwili mmoja!! Sasa inakuaje usijiamini?
<br /><br /><br />
<br /><br />
sasa ukiwa na wasiwasi kabla ya mahusiano huoni kama utakuwa addicted?
Hivi kwani ukipenda ndo inakuwa mwisho wa kutamani???<br />
<br />
utaishije bila kupenda? Huoni kama utakuja kutamani bure?
<br />Hayo maneno yanabaki kuwa maneno, najiamini ila yeye ndo simwamini kwa asilimia 50..