First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Yapo complicated
Atakuja kukuambia anakupenda lakini hayuko serious
Atakuja kukuambia anakupenda
yuko serious
mh! Utawatofautishaje?
mwingine kakubaliwa, anajitosa jumla mwisho wa siku analizwa!! Mh! Kwa nini?
alishindwa kugundua mapema kuwa kapendwa kwa ajili ya sababu
Mapenzi wivu, mwingine hajali
Mapenzi kinyongo, utakaposaliti
mh! Nifanyeje?
Mapenzi, hata teenager nae anataka awe na fataki, mmbabu!!
Nisipende? Mh ngumu!!
Nitakuwa najidanganya!!
OK NIMEAMUA, NIMEPENDWA KWELI, NIMEPENDWA KWA SABABU LAKINI MIMI NIKIPENDA NAPENDA ILI SIKU NIKICHUKIA NICHUKIE HASWA!!
Atakuja kukuambia anakupenda lakini hayuko serious
Atakuja kukuambia anakupenda
yuko serious
mh! Utawatofautishaje?
mwingine kakubaliwa, anajitosa jumla mwisho wa siku analizwa!! Mh! Kwa nini?
alishindwa kugundua mapema kuwa kapendwa kwa ajili ya sababu
Mapenzi wivu, mwingine hajali
Mapenzi kinyongo, utakaposaliti
mh! Nifanyeje?
Mapenzi, hata teenager nae anataka awe na fataki, mmbabu!!
Nisipende? Mh ngumu!!
Nitakuwa najidanganya!!
OK NIMEAMUA, NIMEPENDWA KWELI, NIMEPENDWA KWA SABABU LAKINI MIMI NIKIPENDA NAPENDA ILI SIKU NIKICHUKIA NICHUKIE HASWA!!