S Sluswema New Member Jul 11, 2011 1 0 Jul 13, 2011 #1 Mambo wa ndugu hbr zenu najiunga nany naomba suport yenu
arabianfalcon JF-Expert Member Oct 19, 2010 2,285 584 Jul 13, 2011 #2 Karibu utakunywa nini kahawa na kashata au juisi ya mabungo na vipopoo? karibu sana jisikie uko JF.subiri nikuitie wakubwa.
Karibu utakunywa nini kahawa na kashata au juisi ya mabungo na vipopoo? karibu sana jisikie uko JF.subiri nikuitie wakubwa.
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jul 13, 2011 #3 Japokuwa umebisha hodi baada ya kupita sebuleni,karibu anyway!!
JamboJema JF-Expert Member Jun 14, 2011 1,143 209 Jul 13, 2011 #5 First Born said: Sijui mi ni slow learner? Click to expand... Katika nini? Mapenzi au hodi ya mdau?
Eshy m.s JF-Expert Member Aug 19, 2013 2,926 1,559 Mar 14, 2014 #7 DZUDZUKU said: Umekaguliwa na babu Asprin? Click to expand... babu anakaguaga wadada tu kwani huyu mdada?
DZUDZUKU said: Umekaguliwa na babu Asprin? Click to expand... babu anakaguaga wadada tu kwani huyu mdada?
DZUDZUKU JF-Expert Member Nov 8, 2012 3,907 2,092 Mar 14, 2014 #8 Eshy m.s said: babu anakaguaga wadada tu kwani huyu mdada? Click to expand... Mjini hapa,usiamini avatar.
Eshy m.s said: babu anakaguaga wadada tu kwani huyu mdada? Click to expand... Mjini hapa,usiamini avatar.
Eshy m.s JF-Expert Member Aug 19, 2013 2,926 1,559 Mar 14, 2014 #9 DZUDZUKU said: Mjini hapa,usiamini avatar. Click to expand... ivo eeh!