Bones
Member
- Apr 1, 2011
- 17
- 0
Nashndwa kuamini kama kweli ananipenda,
siku ambayo simu yangu haipatikani huwa nina kesi kubwa ya kujibu lakin mm ninapokuta call waiting tena saa8 ucku naambia ni rafiki tu tena wa jinsia tofauti!
Mbaya zaid anasema kama mtu anampenda aende kwao nami bado nasoma,
pia kaniambia J'3 kuna wazee wa jamaa anaedai anamsumbua wanaenda kujitambulisha kwa wazee wa huyo demu!
Kuna mengi ya ajab yanayofanyka,
nisaidieni kwan nampenda sana!
siku ambayo simu yangu haipatikani huwa nina kesi kubwa ya kujibu lakin mm ninapokuta call waiting tena saa8 ucku naambia ni rafiki tu tena wa jinsia tofauti!
Mbaya zaid anasema kama mtu anampenda aende kwao nami bado nasoma,
pia kaniambia J'3 kuna wazee wa jamaa anaedai anamsumbua wanaenda kujitambulisha kwa wazee wa huyo demu!
Kuna mengi ya ajab yanayofanyka,
nisaidieni kwan nampenda sana!