Nawasaimu wote wana Jf
Unakuta umekutana na msichana unampenda unamtokea anakukubali na mnakuwa marafiki ila mzazi wake (mama)
anafahamu baada ya muda yule binti from no where anakwambia hakufeel tena bila sababu yoyote wee unaumia
ila unapiga mwoyo konde unasonga mbele.Kipindi hicho ulikuwa unasoma chuo na binti pia. anamaiza chuo anakutana
na jamaa mmoja basi wanachukuana wanakaa kama mume na mke kwani wanaishi nyumba moja.Mungu naye anakubariki
unapata kazi nzuri maisha yanasonga.Baada ya muda wale watu wanapata matatizo,wewe katika fani yako unaweza kutoa
msaada unatoa msaada bila hata kujali ya zamani.Baada ya muda yule jamaa anamwacha yule binti.SASA HAPA NDO PATAMU
BINTI BAADA YA KUACHWA ANAKUJA KWAKO KUOMBA MSAMAHA NAKUTAKA MRUDIANE ANAMTUMIA MAMAKE SASA KUKUCONVINCE
MRUDIANE.WEWE HAPO UNAKUWA UMESHAMPATA MWINGINE NA UMENUIA KUISHI NAYE.Kwa busara nzuri unaweleza kwamba una mtu
mwingine tayari na maisha yanakwenda.ila wao wanaanza kumponda yule uliye naye kuwa hakufai ukiuliza sababu za kutokukufaa hawasemi
je ingekuwa niwewe ungejisikiaje na ungefanya nini???????
Unakuta umekutana na msichana unampenda unamtokea anakukubali na mnakuwa marafiki ila mzazi wake (mama)
anafahamu baada ya muda yule binti from no where anakwambia hakufeel tena bila sababu yoyote wee unaumia
ila unapiga mwoyo konde unasonga mbele.Kipindi hicho ulikuwa unasoma chuo na binti pia. anamaiza chuo anakutana
na jamaa mmoja basi wanachukuana wanakaa kama mume na mke kwani wanaishi nyumba moja.Mungu naye anakubariki
unapata kazi nzuri maisha yanasonga.Baada ya muda wale watu wanapata matatizo,wewe katika fani yako unaweza kutoa
msaada unatoa msaada bila hata kujali ya zamani.Baada ya muda yule jamaa anamwacha yule binti.SASA HAPA NDO PATAMU
BINTI BAADA YA KUACHWA ANAKUJA KWAKO KUOMBA MSAMAHA NAKUTAKA MRUDIANE ANAMTUMIA MAMAKE SASA KUKUCONVINCE
MRUDIANE.WEWE HAPO UNAKUWA UMESHAMPATA MWINGINE NA UMENUIA KUISHI NAYE.Kwa busara nzuri unaweleza kwamba una mtu
mwingine tayari na maisha yanakwenda.ila wao wanaanza kumponda yule uliye naye kuwa hakufai ukiuliza sababu za kutokukufaa hawasemi
je ingekuwa niwewe ungejisikiaje na ungefanya nini???????