Jamani huyu binti nampenda sana tena sana, lkn tatizo ninaishi mbal na mpenz wangu! Mwili unapohtaj sex mara moja namkumbuka mpenz wangu na kama nilipanga kufanya upuuzi naacha. Kinachoniumiza zaid mpenzi wangu alipo hakuna mawasiliano ya sim. Ss wana jf nifanyeje ili kuondoa mateso ya mapenz niliyonayo?