Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
uwa nikisikia au kona watu eti wanaoa au wanatangaza ndoa, uwa najiuliza mara kumi kumi ivi wanajua wanachofanya, hii inatokana na experience yangu na hawa viumbe, especially my last 3 failed relationships zimenifanya single kwa muda ambao haujulikani, huyu mmoja nilimpenda sana na alinishawishi niamni ananipenda hivyo hivyo, nilivyomaliza chuo nikaambiwa jamaa wanajitwalia mzigo, sikuamini mpaka aliponipa live, nikakaa muda kisha nikapata mwingine ambaye mwanzo mambo yalikuwa poa ila baada ya muda mambo yakawa mhh wivu kupita kiasi, hataki nipigiwe na wadada, sms zangu anataka azisome zote, akaunti yangu ya fesibuku akachukua password na kugombana na mdada yoyote anayeniinbox, nikashindwa nikapiga chini.
Now sioni sababu ya kuwa kwenye long commited relationship. i prefer casual relationships, one night stands etc. swali langu kwa wanaooa; nini wanakipata kwenye ndoa, kama kila kitu kinaweza patikana nje ya ndoa? watoto, ngono n.k.
Now sioni sababu ya kuwa kwenye long commited relationship. i prefer casual relationships, one night stands etc. swali langu kwa wanaooa; nini wanakipata kwenye ndoa, kama kila kitu kinaweza patikana nje ya ndoa? watoto, ngono n.k.