Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Kuna mtindo wazungu wazee ndo wanachukua watoto wa DSM, unakuta binti anazini na kibabu chake. Maisha bana....
kama vina mpaka ac hivyo vitumbua vitakuwa vya baridi sana
umepoteaje mkuu ? upo? hivo ni vitumbua unaweza kula muda wowote
mie nataka sambusa aisee, mnapika nazo?tunauza my dear kitumbua kina hadi strawbery na vanila ..unataka?
ovyooooooooooooo sanaMabinti wa DSM wanaliwa uroda na vibabu vya kizungu ambavyo hata ulaya vinakataliwa kwa kunuka shombo. Noti kitu kingine kabisa, vijana wa kiume masela nao wanajivinjari na vibibi vya kizungu.
Mange wa U-turn website ndo anafanya kazi wa ku-promote udumavu wa akili kwa wanawake wawindaji wa vibabu vya kizungu. Perception mbaya sana kwa baadhi ya wadada wa kitanzania kuamini ya kuwa hakuna mafanikio bila kuzini na ngozi nyeupe za ulaya. Wanaishia kufanyiwa michezo michafu ambayo ni kinyume kabisa na maadili ya kitanzania.
teh yaani ni balaa dada sikujua kama wazungu wa bulgaria nao wana soko hvi huku tzma dearest Smile you are very right miye nimewah kumshuhudia mdada mmoja wa kibongo pale swiss airline luther house akiwa na mzungu wanakata tiket ili waondke wote, nilikerekwa na yule mdada manake hata hati yake ya kusafiria alitaka iekwe kwamba sijui akatafute uraia wa huko. jamani niligadhabika alimanusurani kumtia vibao. nikamuuliza wewe ulisha wah kwenda huko ulaya akasema hapana, ilibidi yule mmama mkata tiketi ampesomokuwa asifanye hivyo ili ama atateseka aweze kurudi tz.
sasa hawa ndo kaa wale wengine waashobkea wanabaki kuliwa uroda na mbwa na paka wa kizungu
Smile bhana mbona unatusakama watoto wa mwanamke mwenzako....tofauti wewe unachuchumaa sisi tuna jojoa tukiwa kumesimama...........wanaume wenyewe wakutuboost hakuna kitu.. zaidi ndo wanatukopa maana shida kwao zimewajaa kama nini ..loh tuyaache..