chaming gal
New Member
- Mar 15, 2012
- 1
- 0
jaman kila cku maisha yanabadilika upendo wa dhati umepungua watu wanatumia uongo kuliko ukweli kiukweli mapenzi ya uongo yanaumiza tena sana tujalibu kubadilika na haya maisha yanayo wapeleka watu waumizane
wengine wakiambiwa ukweli mtupu wanaona kama wanadanganywa sasa inabidi uweke uwongo japo kiduchu sio sana kiduchuu...
Uongo kwenye mapenzi ni lazima....sasa wamwambia mtu silali nakuota wewe, utaota vipi ikiwa hulali. Mbaya zaidi ni utapeli wa mapenzi thats kills!