Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Huu wimbo unahusika sana aisee daaaah!!
Last edited by a moderator:
Pole NN dah lakini ndio kukomaa kimapenzi kaka!
karibu chama cha mabachelor ukinipenda 2namalizana leoleo 2....am a single girl.
Siku hizi kwa kudanganya, mvulana na msichana ishakuwa poa poa tu.
Hakunaga mapenzi yale ya kugandana, ni zama za kale.
Ala kumbe. Poleni vijana wa kizazi hiki.; si wengine tulishamalizaga hayo.
NN ulimaliza michezo ya baba na mama 1997? Aisee, unahitaji refresher course na overhaul! Or else achana na dating games,kha!
Wewe unazungumzia house wakati mimi nazungumzia stupid mind games.
Halafu mwaka 1997 ulikuwa ushavunja ungo wewe?
There is nothing like 'stupid' mind games papaa! And they can be fun, hehehe!
Mie mtoto wa town, tulikuwa hatuvunji nyungo manake tunapikiwa bismat rice ama kitumbo,lol
Sounds like you are a seasoned professional....
Lol! At least you are almost there!