harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Jana katika pitapita nikakutana na jamaa amekaa na binti mmoja sehemu ninapopata kinywaji
jamaa alipoenda toilet nikaomba namba kutoka kwa yule binti na mistari miwili ya kiutani
baada ya mazungumzo kidogo yule jamaa akarudi .Mi nikatulia nikasogea meza ya mbali ambapo yule
jamaa na yule binti hawawezi kuniona nikaanza kucharti na yule binti mwisho wa siku yule binti akamuaga
jamaa kwamba anawahi nyumbani tukahamia kiwanja kingine .
kweli penzi kama cm ya kichina laini nne....................
jamaa alipoenda toilet nikaomba namba kutoka kwa yule binti na mistari miwili ya kiutani
baada ya mazungumzo kidogo yule jamaa akarudi .Mi nikatulia nikasogea meza ya mbali ambapo yule
jamaa na yule binti hawawezi kuniona nikaanza kucharti na yule binti mwisho wa siku yule binti akamuaga
jamaa kwamba anawahi nyumbani tukahamia kiwanja kingine .
kweli penzi kama cm ya kichina laini nne....................