Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Mtandaoni hakuna mapenzi, labda kama unataka mtu wa kucheza nae siyo kwa maisha ya baadae.
Na long distance relationship ina maana gani?Mtandaoni hakuna mapenzi, labda kama unataka mtu wa kucheza nae siyo kwa maisha ya baadae.
hahahahh, nicheke mie.Hivi mtu hadi unatafuta mpenzi mtandaoni inakuwaje? Huwezi kutongoza live au mdomo mzito?
mmenena wakuu, ila sijapata comment ya demu. wengi wa mtandaoni wana sababu zaidi ya mapenzi katika kujianika hewani. nadhani pia katika forum hii mtu aweza kupata kitu cha nguvu kwani lengo lake hasa hajalenga kutafuta mahusiano
Mtandaoni hakuna mapenzi, labda kama unataka mtu wa kucheza nae siyo kwa maisha ya baadae.
Mhh sidhani kama kuna ukweli hapa maana nimeona wengi wamefanikiwa......Usiwakatishe tamaaa ambao wameshafikia 95% wasije wakashindwa kuelewana!
maisha ndio haya hamna mengine.....Mtandaoni hakuna mapenzi, labda kama unataka mtu wa kucheza nae siyo kwa maisha ya baadae.
em nipe mchongo wa mojawapo ya reliable social network ili nami niweze kupata kitu cha maana. sometime mtu unakuwa bize kiasi unashindwa kujichanganya physically
Unataka wa-tz ama wadhungu?