Au unachora moyo kwenye mkono alafu unapita karibu na demu unamwonyesha.umenikumbusha mbali sana sana halafu sisi tulikua tunapeana hizi barua aidha kwene daftari au unamtuma darasa la pili au mnajifanya mnakwenda chooni on the way ndio mchezo unaishia huko. nilikua bingwa
Ukimwona umpendae mbele yako unaangusha barua chini then yeye anaokota.umenikumbusha mbali sana sana halafu sisi tulikua tunapeana hizi barua aidha kwene daftari au unamtuma darasa la pili au mnajifanya mnakwenda chooni on the way ndio mchezo unaishia huko. nilikua bingwa
Ukimwona umpendae mbele yako unaangusha barua chini then yeye anaokota.
kijijini stika unapata wapi? huoni hata karatazi amechana daftari!imenikumbusha mbali. tuletee nyingine yenye zile stika za i love u.
mimi nilikuwa nina mwandiko mzuri sana, wadada walikuwa wanapanga foleni niwaandikie (na kizungu kilikuwa kinapanda, ha haaaaa)
mimi sikuwa nacho rafiki (kweli tena), nilikuwa nawaandikia kwa vya kwaoUwaandikie kwa vibuzi vyao?
na wewe uliandika kwa cha kwako?
mimi sikuwa nacho rafiki (kweli tena), nilikuwa nawaandikia kwa vya kwao
oh! sijaiona. ngoja nipekuenina threads nasubiri uchangie
sikuoni
hebu pekua pekua mmu basi