hakuna kitu inaitwa mapeni ya kweli, usijidanganye zama hizi ni wizi mtupu.
Jitunze ili ujifurahishe mwenyewe sio mpenzio... copy that.
Katika zama za sasa wengi wa "wapendanao" hasa wanaume hununua zawadi kwa kupotezea 2 c kwamba ana-feel kufanya hivyo bali kwa kuwa mwenzi wake anazipenda na asiponunuliwa furaha itatoweka/atawekewa vikwazo n.k.
Kaunga mapenzi ya namna hiyo lengo lake ni kutaka kumuonyesha mwenzi wako ni kwa kiasi gani unampenda na kumjali. Kuna mtoto wa dada aliiba laki 5 home akaenda kumlipia bf wake ada ya chuo
Aisee hiyo nayo ni kubwa; hakujali atachapwa lkn at that moment alichokuwa anajali ni welfare ya boyfriend wake!
Ila BF kama alijua alichofanya mpenziwe na kukubali maana yake alikuwa selfish!
I know, ila hiyo ni true story!
JF ni mimi na Eiyer tu ndio twaweza hata kuuza jicho ili kumsitiri mwingine!
Wana MMU huenda tukajifunza kitu hata katika kipindi hiki cha mapenzi ya vitu au convinience!
Kuna couple moja ilikuwa haina uwezo wa kifedha iliyoishi huko Brazil. Kipindi cha Noel ambapo wenzetu wanatabia ya kupeana zawadi kilipofika, kila mtu aliumiza kichwa ampe mwenzake zawadi gani.
Mke ambaye alikuwa na nywele nzuri na ndefu (ingawa hazikutunzwa vizuri) aliamua kwenda kuziuza (ili kina King'asti wanunue) na kumnunulia mumewe mkanda wa saa yake ambao ulikuwa umekatika.
Huku nyuma mume naye aliamua kwenda kuuza ile saa isiyo na mkanda na kumnunulia mkewe brush ya nywele na mafuta ili nywele za mkewe zizidi kupendeza.
Walivyofika nyumbani Mke kafunga lemba kichwani na mume kaficha zawadi yake. Siku ya kufungua zawadi ilivyofika mama anaona brush na mafuta ya nywele ambazo hana, na mume anapata mkanda wa saa ambayo hana.
Mtaconclude wenyewe!
Robo weekend njema!
I know, ila hiyo ni true story!
JF ni mimi na Eiyer tu ndio twaweza hata kuuza jicho ili kumsitiri mwingine!