Jamani mapenzi ya kweli kwangu si kumtoa out umpendaye tu. Kwangu mie nadhani kama kupendana kwa nini mtoto wa kiume amtoe wa kike tu? Inanipa homa sana ninapomuona mmoja anafanya kila kitu na mwingine ni mpokeaji na wkt anao uwezo wa kujibrother sugarcane? Nishauri au siyo jamani