Mapenzi ya Kikwete kwa Haji Mponda na Lucy Nkya, Mauti kwa Watanzania Masikini

Pinda mimi toka nazaliwa nimekuta hayo malalamiko ya madaktari, nadhani mnachokosea serikali mnadhani Tanzania hii ni ile ya miaka ya 74. Kwa kweli mmenoa.
 
Pinda alisema Dk Mponda mwenyewe anayelalamikiwa ndiyo kwanza ana mwaka mmoja na nusu kazini na hata madai mengine hayajui kwa kuwa hakuwepo wakati huo akisema shinikizo la kutaka awajibishwe ni kumuonea.


Sidhani kama huu ni utetezi kusema kuwa yeye ni mgeni wizarani hajui kinachoendelea
Kwani waziri aliyekuwepo aliondoka na mafile au documents za ofisi zote mpaka anayekuja anakuja kuanza upya kuandaa ya kwake
Tusitumie udhaifu wa mtu kusema kuwa eti yeye ni mgeni wizarani hajui lolote

Hata ukikabidhiwa wizara siku mbili na baada ya siku mbili mgomo ukaanza ina maana madai ya wanaogoma yalikuwepo wizarani muda na unatakiwa ujue kuwa kuna hilo
Au hawakabidhiani majukumu na taarifa za kazi kabla hawajaachiana ofisi
japo siungi mkono mgomo ila kwa hili sikubaliana kabisa


Kutokujua wizara sio excuses, ni uzembe na kichwa kigumu.
Kwani hana washauri?
 
kama ni mwadilifu na hawezi kufanya kazi katika serikali ambayo si hadilifu ni bora ajiuzuru hiyo nafasi na kama ataendelea kubakia basi atakuwa amekubaliana na anayafanya hayo madudu.Bora aondoka aweke heshima.
 
Kwani mtu asipokuwa waziri atakufa? Si wampekele wizara nyingine kama walivyozoea kuwabadilisha badala ya kuwawajibisha? Kwani lazima awepo wizara ya afya?
 
pinda alisema dk mponda mwenyewe anayelalamikiwa ndiyo kwanza ana mwaka mmoja na nusu kazini na hata madai mengine hayajui kwa kuwa hakuwepo wakati huo akisema shinikizo la kutaka awajibishwe ni kumuonea.


Sidhani kama huu ni utetezi kusema kuwa yeye ni mgeni wizarani hajui kinachoendelea
kwani waziri aliyekuwepo aliondoka na mafile au documents za ofisi zote mpaka anayekuja anakuja kuanza upya kuandaa ya kwake
tusitumie udhaifu wa mtu kusema kuwa eti yeye ni mgeni wizarani hajui lolote
hata ukikabidhiwa wizara siku mbili na baada ya siku mbili mgomo ukaanza ina maana madai ya wanaogoma yalikuwepo wizarani muda na unatakiwa ujue kuwa kuna hilo
au hawakabidhiani majukumu na taarifa za kazi kabla hawajaachiana ofisi
japo siungi mkono mgomo ila kwa hili sikubaliana kabisa


labda atuambie waziri aliyeondoka (prof mwakusya) ni wa chama na serikali ingine
 
Kutokujua wizara sio excuses, ni uzembe na kichwa kigumu.
Kwani hana washauri?


Utendaji wa wizara unatia mashaka
Inawezekana mtangulizi wa waziri aliondoka na files zote na wasaidizi wa waziri aliyepo sasa nao ni wapya maana alikuja nao baada ya kuwaondoa wale wa zamani so nao ni wapya wizarani
Na Waziri mpaka asome mazingira ya ofisi mwaka mmoja na nusu haujatosha bado anafamiliarize wizara na watendaji wake
So kwa hali halisi tutarajie Waziri aanze kuact mwaka wake wa tatu kufanya kazi na baada ya muda anaweza kuondolewa kabla hata hajaijua ofisi maana Mkuu wake wa kazi akimuondoa itakuwa hajaijua ofisi na atakayekuja nae atamaliza mwaka na nusu wa kuijua ofisi na baada ya miaka mitano uchaguzi mpya hatujui kama atarudi huyo waziri wizarani na atakeyekjuja nae apewe muda wa kuijua ofisi
What the hell tutafanya kazi kwa mazoea au kwa kuwa ofisi ile ni ya umma na ipo miaka yote na ina watendaji na wasaidizi wengi tuu wanaolipwa mishahara minono kufanya kazi kwa nini washindwe kumshauri waziri wa wizara na kumwambia mambo yaliyokuwepo wizarani kabla hajaanza kazi
 
labda atuambie waziri aliyeondoka (prof mwakusya) ni wa chama na serikali ingine

Ndo hapo mkuu sipati picha
may be Mwakyusa aliondoka na mafile na documents zote na watendaji wote wa wizara so huyu mpya anakuja kuanza upya kukusanya files na documents na watendaji wapya wa wizara yake
Mwaka na nusu hujaijua wizara na waziri mkuu anatetea uozo kama huo
Kama mwaka na nusu hujaijua wizara na pale hujui ni lini utaondoka maana ni mteuliwa tuuu inakuwaje kama ataondolewa muda huu akaja mwingine nae atatumia mwaka na nusu kuijua ofisi
So mpaka term ya mkuu iishe mawaziri wanajifunza kazi tuu hawajaanza kazi
Kweli hii ni tanzania
 
Mwächeni Pinda wa watu.. Ametunukiwa BÜSARA..TANGU KUZALIWA...
Na msitarajie mpata kiongozi mwenye busara kama huyu punde atapomaliza muda wake.!
Ukasirike,uvimbe,ufure,uny..
Huo ndo ukweli.
 
Pinda alisema Dk Mponda mwenyewe anayelalamikiwa ndiyo kwanza ana mwaka mmoja na nusu kazini na hata madai mengine hayajui kwa kuwa hakuwepo wakati huo akisema shinikizo la kutaka awajibishwe ni kumuonea.


Sidhani kama huu ni utetezi kusema kuwa yeye ni mgeni wizarani hajui kinachoendelea
Kwani waziri aliyekuwepo aliondoka na mafile au documents za ofisi zote mpaka anayekuja anakuja kuanza upya kuandaa ya kwake
Tusitumie udhaifu wa mtu kusema kuwa eti yeye ni mgeni wizarani hajui lolote
Hata ukikabidhiwa wizara siku mbili na baada ya siku mbili mgomo ukaanza ina maana madai ya wanaogoma yalikuwepo wizarani muda na unatakiwa ujue kuwa kuna hilo
Au hawakabidhiani majukumu na taarifa za kazi kabla hawajaachiana ofisi
japo siungi mkono mgomo ila kwa hili sikubaliana kabisa


Hivi si Pinda aliyesema kwamba yeye anawasimamisha akina Nyoni na Mtasiwa halafu Rais atawachukulia hatua Mponda na Nkya? Sasa anavyotoa hayo majibu yeye amekuwa Rais? Hawa viongozi kwa kweli wanasikitisha sana
 
Hivi si Pinda aliyesema kwamba yeye anawasimamisha akina Nyoni na Mtasiwa halafu Rais atawachukulia hatua Mponda na Nkya? Sasa anavyotoa hayo majibu yeye amekuwa Rais? Hawa viongozi kwa kweli wanasikitisha sana

Labda Raisi amekataa !
 
Aiseee! umeamka asubuhi hii ukaona leo usipoandika kitu JF siku kwako haitaisha! Please rethink harafu urudi tena kutetea hoja yako.

Wapumbavu utawajua tu kwa Upumbavu wao, nenda kale pilau huko Arumeru mnapikiwa na Kina Nape
 
anachofanya kikwete ni kujificha kwa mvua kwa kujifunika tenga tupu kichwani, je hatalowa?
 
kwa muda mrefu sasa mfumo wetu ndiyo ulivyo. Kuna watu walijigawia nyumba za umma, viwanda vyetu, mashamba, yetu, migodi yetu.............. nani amlaumu mwenzake?
 
"Mponda na Nkya wana mwaka na vimiezi vichache tu pale wizarani" Mizenguo pinda
 
KIKWETE...
Ndugu yangu hawa jamaa wagalatia huwa na mambo yao..wakimkataa mtu kwa sababu sio miongoni mwao. basi watafanya kilaa kitu mpaka uondoke hata kama hauna kosa..tunajua Mponda hana kosa....hana uwezo wa kuongeza hicho wanachokitakata....ila yote haya ni yeye mvaa kanzu aondoke hapo wizarani........akiondoka ukiwaekea mvaaa koti kama wao basi hata akiwa ambia "" hawa madaktari wajinga wajinga sijui wamesoma wapi..""" basi watampigia makofi.....hawa ndio walivo....usisumbuke muondoe wawekee mvaa koti mwenzao....
 
Back
Top Bottom