Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Mar 24, 2012 #3 Huyo jamaa kaula wa chuya kwa uvivu wa kupembua.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Mar 25, 2012 #4 Hao wakiwa kwenye 6x6 wanakuwa na urefu unaolingana.
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Mar 25, 2012 #5 Koba yuko wapi, naskiaga eti hizi ndio staili za mademu wa makaratasi.. Nways, napendaga women on high boots, lakini sio kaa hili jidubwana kiukweli.
Koba yuko wapi, naskiaga eti hizi ndio staili za mademu wa makaratasi.. Nways, napendaga women on high boots, lakini sio kaa hili jidubwana kiukweli.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Mar 25, 2012 #7 Mapenzi hayana urefu wala unene the matter is true love
RICH OIL SHEIKH JF-Expert Member Jan 2, 2012 883 167 Mar 26, 2012 #8 Nadhani huyu atakuwa mbeba box; kajitoa muhanga kumuoa huyu great Khalii ili apate uraia
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Mar 26, 2012 #9 dah teh teh teeeh asee huyu jamaa amepata kazi nzito hapo hiyo ni hatari kweli kweli yani atajuta akiwa mzee....
dah teh teh teeeh asee huyu jamaa amepata kazi nzito hapo hiyo ni hatari kweli kweli yani atajuta akiwa mzee....
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Mar 26, 2012 #10 kwenye 6x6 watu wafupi kama huyo jamaa huwa wanakuaga wadogo kama TENESI!