Mapenzi ya dhati yakoje? Yanafananaje?

Yes, Mapenzi ya dhati does exist, lakini wengi wetu hatujui hilo kwani tumeweka vigezo vingine. Kikubwa ni kuwa lazima tuzikubali zile tofauti za kawaida baina yetu. Kwani hatutegemei kumpata mtu ambaye ni malaika au yuko 100% perfect. Kama wote wawili tutajua hili basi ni rahisi kila mmoja wetu kuonyesha mapungufu yake kwani anajua ipo nia ya kweli katika kukubaliana au kuoanisha hayo mapungufu katika maisha. Kama wote mtajifungua, basi hapo hakutokuwa na artificial life..itakuwa ni real life iwe mbaya, ya kawaida au nzuri..
.

Nilipoona the topic... na post yako... I was looking for this katika majibu yako... for believe me you bado hua sikuelewi... (utanisamehe.. for the topic inakugusa i think moja kwa moja.... i bliv you know what i mean...).. Na nilichokipata is the same opinion.... Dah! Sijui niseme una bahati au vipi...
 
Naamini unajua maana ya neno dhati... Gagu Mapenzi ya dhati... yaaani yale ya dhati kabisa, maneno hayawezi tosheleza kueleza yakoje or inakuaje... You just have to be one of the lucky ones kupenda kwa dhati AU Kupendwa kwa dhati na ukaappreciate hayo mapenzi... ili uelewe kua mapenzi ya dhati ni kitu gani...
<br />
<br />
Ofcoz nafaham maana ya neno Dhati, bt inapokuja wakati wa kuhusianisha neno DHATI + MAPENZI= MAPENZI YA DHATI Inaniwia ngumu kidogo, ukimsoma Tulizo ktk comment yake, pamoja na Lizzy utakubaliana nao kuwa mapenzi ya dhati ni nadra sana kutokea, ukijalibu ku'relate na bongo yetu then utakata tamaa, mapenz ya bongo yametawaliwa na tamaa na usanii mkubwa wkt huohuo wao hujiona wanapendana, wamekua wakiigiza yale mapenzi ya kwenye tamthilia! Nadhan kuna sababu ya kujielimisha kuhusu hili. Thanx AshaDii
 
Nilipoona the topic... na post yako... I was looking for this katika majibu yako... for believe me you bado hua sikuelewi... (utanisamehe.. for the topic inakugusa i think moja kwa moja.... i bliv you know what i mean...).. Na nilichokipata is the same opinion.... Dah! Sijui niseme una bahati au vipi...
<br />
<br />
Yeah hii thread inanigusa kwa kiasi kikubwa pia inagusa wengine wengi. Lengo kubwa hapa ni kutaka kujenga uelewa kwa vijana wenyetu juu ya Mapenzi ya dhati, tujitambue, tutambue hisia na matendo yetu hususani yanayohusiana na mapenzi. Believe me, wenzetu wengi wamepoteza maisha or kukata tamaa (being totaly disappointed) kwa sababu ya mapenzi. Utakubaliana na mimi kuwa vijana wengi hudhani mapenz ya dhati ni kuishi na mpenz wako kwa kufuata tamaduni za kizungu. So lengo ni kufungua uelewa juu ya ili. Kuna wakati watu hufikia kusema kuwa haya mapenz haya exist bt kupitia comments zenu ktk hii thread zitafungua uelewa kwa watu hawa wenye mawazo finyu!
 
<br />
<br />
Ofcoz nafaham maana ya neno Dhati, bt inapokuja wakati wa kuhusianisha neno DHATI + MAPENZI= MAPENZI YA DHATI Inaniwia ngumu kidogo, ukimsoma Tulizo ktk comment yake, pamoja na Lizzy utakubaliana nao kuwa mapenzi ya dhati ni nadra sana kutokea, ukijalibu ku'relate na bongo yetu then utakata tamaa, mapenz ya bongo yametawaliwa na tamaa na usanii mkubwa wkt huohuo wao hujiona wanapendana, wamekua wakiigiza yale mapenzi ya kwenye tamthilia! Nadhan kuna sababu ya kujielimisha kuhusu hili. Thanx AshaDii



The way umejibu hii Gagurito na the way amejibu Lizzy na Tulizo.... nimekubaliana nayo sema nimejibu in brief... and i quote;

Naamini unajua maana ya neno dhati... Gagu Mapenzi ya dhati... yaaani yale ya dhati kabisa, maneno hayawezi tosheleza kueleza yakoje or inakuaje... You just have to be one of the lucky ones kupenda kwa dhati AU Kupendwa kwa dhati na ukaappreciate hayo mapenzi... ili uelewe kua mapenzi ya dhati ni kitu gani...i

Zingatia kua hapo nilipo blue-isha nimelenga kua ni wachache wanaweza experience.... Pamoja na kusema ni rare... mara nyingi kila mwanadamu anapitia ingawa ni wachacha ambao hupata wawapendao kama wapendavyo...
 
<br />
<br />
Yeah hii thread inanigusa kwa kiasi kikubwa pia inagusa wengine wengi. Lengo kubwa hapa ni kutaka kujenga uelewa kwa vijana wenyetu juu ya Mapenzi ya dhati, tujitambue, tutambue hisia na matendo yetu hususani yanayohusiana na mapenzi. Believe me, wenzetu wengi wamepoteza maisha or kukata tamaa (being totaly disappointed) kwa sababu ya mapenzi. Utakubaliana na mimi kuwa vijana wengi hudhani mapenz ya dhati ni kuishi na mpenz wako kwa kufuata tamaduni za kizungu. So lengo ni kufungua uelewa juu ya ili. Kuna wakati watu hufikia kusema kuwa haya mapenz haya exist bt kupitia comments zenu ktk hii thread zitafungua uelewa kwa watu hawa wenye mawazo finyu!


And sorry for the misunderstanding... Nilikua namlenga Tulizo as a result of a discussion tumewahi fanya hapo nyuma... na nakubali it is a Great topic na maneno ya hii post nime ku quote....
 
And sorry for the misunderstanding... Nilikua namlenga Tulizo as a result of a discussion tumewahi fanya hapo nyuma... na nakubali it is a Great topic na maneno ya hii post nime ku quote....
<br />
<br />
Hahahaa! Ucjal AshaDii tupo wengi, teh! wewe kwa quotes mmh! unataka rejesha mfumo wa ile thread yako ya zamani? Nimekusoma!
 
The way umejibu hii Gagurito na the way amejibu Lizzy na Tulizo.... nimekubaliana nayo sema nimejibu in brief... and i quote;<br />
<br />
<br />
<br />
Zingatia kua hapo nilipo blue-isha nimelenga kua ni wachache wanaweza experience.... Pamoja na kusema ni rare... mara nyingi kila mwanadamu anapitia ingawa ni wachacha ambao hupata wawapendao kama wapendavyo...
<br />
<br />
I got you, nitayafanyia kazi haya. Nauhakika mchango wako utasaidia wengi humu! Be blessed AshaDii
 
Nilipoona the topic... na post yako... I was looking for this katika majibu yako... for believe me you bado hua sikuelewi... (utanisamehe.. for the topic inakugusa i think moja kwa moja.... i bliv you know what i mean...).. Na nilichokipata is the same opinion.... Dah! Sijui niseme una bahati au vipi...

Ha ha ha ..Nimekupata..Ok ni hivi.

Kama nilivyowahi kusema, mapenzi ni maisha na ukiangalia sana mapenzi ni myth na pia ukichimba deep sana unaweza ukachanyikiwa na kuwashawishika hakuna mapenzi ila sehemu kubwa ni sacrifice. Ok, leo tusifungue mjadala huo..

Mimi naamini mapenzi ya dhati ni mchanganyiko wa vitu vingi kama ilivyo pilau au biriani na huwezi kuchagua kuhisi ladha kiungo kimoja tu na kuacha kingine. Unatakiwa kukubali ladha ya pilau na siyo ladha ya wali, mdalasini etc. Ndani ya mapenzi ya kweli kuna kujitoa muhanga, kusameheana, uwazi, ukweli, uongo kidogo, mateso, furaha, busara, heshima, kuvumiliana, historia, bahati etc. Ni mseto wa pilau ambao wote mnatakiwa msifie ladha yake. Sasa kama wewe hupendi kiungo cha mdalasini, utasema pilau tamu lakini mdalasini imezidi kidogo ..hivyo mdalasini itapungua na siyo kutoa kwani ukitoa mdalasini hilo silo plau tena..

Pia kumbuka Historia ina sehemu yake katika maisha yetu ya sasa. Mfano, binafsi kila nikimwona mwanamke yeyote hata binti zangu nashindwa niwalipe nini.. Kumbuka nimepishana umri wa miaka 16 na mama yangu ambaye anaamini yule aliyempa ujauzito alimlaghai kwa maneno matamu labda pia na hela, kumwoa na kumtelekeza baada ya kumwongeza watoto wengine. Kuishi kwa kushuhudia jinsi yule mama alivyoangaika hadi kuishia kupoteza maisha yake kwa ajili yetu na at the expense ya yule jamaa aliyemlaghai kwa lugha ya mapenzi ni picha ambayo siwezi kusahau..Anyway, kwa sasa nimeshapewa jukumu la kuwa baba, Je? Nifanye nini kwa mke na watoto wakati najua fika kitakachowakuta na kidonda ambacho kinanisumbua hadi leo? Je? Nitamuhenzi vipi yule mama aliyejitoa muhanga ambapo mara nyingi nasema kwanini asingesubiri kidogo? Je niendelee kudanganya na kubadili wanawake ni sawa na yule aliyemdanganya mama yangu na kumtundika mimba akiwa na miaka 15?, Kufanya mapenzi na mabinti wakati najua mimi na mama tumepishana miaka 16? Je? Niwachukie wanaume kwa sababu ni wakatili, lakini mbona nami ni mwanaume, tena baba? It’s complicated..

Solution, Just to be what you wanna be, Sacrifice life kama wengi walivyofanya, kuweka malengo ya chini kwani utakubali na kutatua matatizo mengi, kujishusha utaweza kumwona mwenzako na kuheshimu kama alivyo, kubalance na jamii kwani kama alivyosema Nyumba kubwa jamii siyo 1+2 = 3..ni akili kichwani..Lakini inawezekana pia ukajumlisha bahati..kwani ni bahati kupata mtu ambaye ataweza kuchukua na kuthamini mchango wako kwa familia na siyo kufikiri it’s your weakness na ku-take advantage..
 
Ha ha ha ..Nimekupata..Ok ni hivi.<br />
<br />
Kama nilivyowahi kusema, mapenzi ni maisha na ukiangalia sana mapenzi ni myth na pia ukichimba deep sana unaweza ukachanyikiwa na kuwashawishika hakuna mapenzi ila sehemu kubwa ni sacrifice. Ok, leo tusifungue mjadala huo..<br />
<br />
Mimi naamini mapenzi ya dhati ni mchanganyiko wa vitu vingi kama ilivyo pilau au biriani na huwezi kuchagua kuhisi ladha kiungo kimoja tu na kuacha kingine. Unatakiwa kukubali ladha ya pilau na siyo ladha ya wali, mdalasini etc. Ndani ya mapenzi ya kweli kuna kujitoa muhanga, kusameheana, uwazi, ukweli, uongo kidogo, mateso, furaha, busara, heshima, kuvumiliana, historia, bahati etc. Ni mseto wa pilau ambao wote mnatakiwa msifie ladha yake. Sasa kama wewe hupendi kiungo cha mdalasini, utasema pilau tamu lakini mdalasini imezidi kidogo ..hivyo mdalasini itapungua na siyo kutoa kwani ukitoa mdalasini hilo silo plau tena..<br />
<br />
Pia kumbuka Historia ina sehemu yake katika maisha yetu ya sasa. Mfano, binafsi kila nikimwona mwanamke yeyote hata binti zangu nashindwa niwalipe nini.. Kumbuka nimepishana umri wa miaka 16 na mama yangu ambaye anaamini yule aliyempa ujauzito alimlaghai kwa maneno matamu labda pia na hela, kumwoa na kumtelekeza baada ya kumwongeza watoto wengine. Kuishi kwa kushuhudia jinsi yule mama alivyoangaika hadi kuishia kupoteza maisha yake kwa ajili yetu na at the expense ya yule jamaa aliyemlaghai kwa lugha ya mapenzi ni picha ambayo siwezi kusahau..Anyway, kwa sasa nimeshapewa jukumu la kuwa baba, Je? Nifanye nini kwa mke na watoto wakati najua fika kitakachowakuta na kidonda ambacho kinanisumbua hadi leo? Je? Nitamuhenzi vipi yule mama aliyejitoa muhanga ambapo mara nyingi nasema kwanini asingesubiri kidogo? Je niendelee kudanganya na kubadili wanawake ni sawa na yule aliyemdanganya mama yangu na kumtundika mimba akiwa na miaka 15?, Kufanya mapenzi na mabinti wakati najua mimi na mama tumepishana miaka 16? Je? Niwachukie wanaume kwa sababu ni wakatili, lakini mbona nami ni mwanaume, tena baba? It’s complicated..<br />
<br />
Solution, Just to be what you wanna be, Sacrifice life kama wengi walivyofanya, kuweka malengo ya chini kwani utakubali na kutatua matatizo mengi, kujishusha utaweza kumwona mwenzako na kuheshimu kama alivyo, kubalance na jamii kwani kama alivyosema Nyumba kubwa jamii siyo 1+2 = 3..ni akili kichwani..Lakini inawezekana pia ukajumlisha bahati..kwani ni bahati kupata mtu ambaye ataweza kuchukua na kuthamini mchango wako kwa familia na siyo kufikiri it’s your weakness na ku-take advantage..
<br />
<br />
AshaDii umeipata hii? Mkuu Tulizo pole kwa mkasa wa mama if its realy! Yote uliyonena nimekupata vyema. Nashauri pitia thread hii vyema comments za wadau haswaa then zichambue, changanya na zako plus experience yako then uje na kitu cha ukweli coz unauwezo mkubwa wa kuchambua mambo pia unaelewa mambo kwa mapana sana. Mapenzi ya dhati yapo bt yanaitaji promotion ili yaweze kueleweka vyema!
 
<br />
Mapenzi ya dhati yapo bt yanaitaji promotion ili yaweze kueleweka vyema!

Thanks kwa yote Gagurito..Nadhani kuna watanzania wengi wamepitia maisha kama hayo.. Natumaini wengi tunajifunza kwa makosa, nasi wengine tuko tayari kutoa ushauri ili wengine waepuke zile njia mbovu..Ushauri utabaki ushauri na ni juu ya mwenye nia ya kweli kuubeba.. Tutaendelea kuchangia hoja na sometime kumega experience za maisha yetu ili ku-support mawazo yetu...Lakini mwisho tungependa kila mtu awe na furaha..

All in all, kama ulivyosema "Mapenzi ya dhati yapo but yanaitaji promotion ili yaweze kueleweka vyema!"
 
Thanks kwa yote Gagurito..Nadhani kuna watanzania wengi wamepitia maisha kama hayo.. Natumaini wengi tunajifunza kwa makosa, nasi wengine tuko tayari kutoa ushauri ili wengine waepuke zile njia mbovu..Ushauri utabaki ushauri na ni juu ya mwenye nia ya kweli kuubeba.. Tutaendelea kuchangia hoja na sometime kumega experience za maisha yetu ili ku-support mawazo yetu...Lakini mwisho tungependa kila mtu awe na furaha..<br />
<br />
All in all, kama ulivyosema &quot;Mapenzi ya dhati yapo but yanaitaji promotion ili yaweze kueleweka vyema!&quot;
<br />
<br />
Kweli mkuu Tulizo, nimekuelewa vyema, wazungu wanasema exactly!
 
Mambo ya kupendana bila kutendana.
<br />
<br />
Haya mambo si mepesi kama wabongo wadhaniavyo. Kumpenda mtu kwa dhati sio kuishi nae maisha ya kitamthilia. But penz la dhat linaitaji kujitambua na kufanya mambo kwa mwenzio kwa kufuata hisia za kweli.
 
Ha ha ha ..Nimekupata..Ok ni hivi.

Kama nilivyowahi kusema, mapenzi ni maisha na ukiangalia sana mapenzi ni myth na pia ukichimba deep sana unaweza ukachanyikiwa na kuwashawishika hakuna mapenzi ila sehemu kubwa ni sacrifice. Ok, leo tusifungue mjadala huo..

..

Nimeona hii post too late.. na saizi ni almost alfajiri and i have an early day nilale walau an hour... Nimeipenda na thanks for the feedback.... way later on today nitairudia for i have loads of comments and a bunch of questions..... Thank you.
 
Mapenzi ya dhati ni yale mapenzi ya kweli na yenye uhalisia yanayotokana na mtu kuku-kubali na kukupokea kwa jinsi vile ulivyo bila masharti yoyote. Haya ni mapenzi yenye hisia ambazo kiukweli kila binadamu hupitia katika kipindi chake cha maisha na ni hisia ambazo huja mara moja tu kwa ajili ya mtu mmoja tu aliyepangiwa na mwenyezi kuuteka moyo wako na daima hisia hizo huwa hazijirudii mara mbili kama hukubahatika kumfanya awe wa milele au angalau ukawa naye kwa kipindi fulani cha maisha yako basi jua hutozipata tena hisia kama hizo utaishia kupenda kwa hisia zilizoshuka zenye kuambatana na kanuni toka moyoni juu ya mapenzi,kamwe hotozifikia tena zile hisia za juu za kupenda! Sasa kinachofanya mapenzi ya dhati kwa sasa yasionekane si kwamba watu hawapati hisia za dhati za mapenzi la hasha!ila wanakuwa waoga kuzionesha eti kwa kuogopa kuumizwa na wengine huzipuuzia kabisa pindi wanapojihisi kupenda huo ni utumwa wa fikra kwani upendo ndio zawadi pekee unayoweza kuipa nafsi yako!
 
Mapenzi ya dhati hupatika pale ambapo Wapenzi hupendana bila masharti wala vigezo. Hii ina maanisha kwamba pesa, mali, uzuri havina nafasi. Pili Mapenzi ya dhati hupatikana pale ambapo wapenzi wamechukua muda kufahamiana vyema na sio haraka km inavyokuwa kwa wapenzi wengi wa siku hizi, hapa uvumilivu au kitu kinaitwa subira hutakiwa. Kwa mfano mimi nilitamani mpenzi anyaweza kuniridhisha muda wowote nikimhitaji, unadhani nikikiutana na yule ambaye yeye anaweza kukutana na mumue mara moja kwa mwei.... kweli huyu nitaendelea kumpenda??? ktk mapenzi inabidi kupeana muda wa kusomana, ili maamuzi ya wawili yasiwe na regrets.

SUBIRA
 
wadau wa jamvin, Mwenzenu nimekuwa nikisikia kwa wakati tofauti watu (wote wadada na wakaka) wakisema &quot;namtaka mpenzi mwenye mapenzi ya dhati&quot; Honest neno dhati mpaka sasa cjapata kuelewa maana halisi ya neno hili/ sielewi mapenzi haya yakoje. JE NI NINI TAFSIRI SAHII YA NENO &quot;DHATI&quot;? Tusaidiane!
<br />
<br />

Hakuna binadam mwenye mapenzi ya dhati. Mtatumia lugha tamu tamu hapa kudanganyana bure lakini kitu kama hicho hakipo aisee arifu yangu.
 
Mapenzi ya dhati ni yale mapenzi ya kweli na yenye uhalisia yanayotokana na mtu kuku-kubali na kukupokea kwa jinsi vile ulivyo bila masharti yoyote. Haya ni mapenzi yenye hisia ambazo kiukweli kila binadamu hupitia katika kipindi chake cha maisha na ni hisia ambazo huja mara moja tu kwa ajili ya mtu mmoja tu aliyepangiwa na mwenyezi kuuteka moyo wako na daima hisia hizo huwa hazijirudii mara mbili kama hukubahatika kumfanya awe wa milele au angalau ukawa naye kwa kipindi fulani cha maisha yako basi jua hutozipata tena hisia kama hizo utaishia kupenda kwa hisia zilizoshuka zenye kuambatana na kanuni toka moyoni juu ya mapenzi,kamwe hotozifikia tena zile hisia za juu za kupenda! Sasa kinachofanya mapenzi ya dhati kwa sasa yasionekane si kwamba watu hawapati hisia za dhati za mapenzi la hasha!ila wanakuwa waoga kuzionesha eti kwa kuogopa kuumizwa na wengine huzipuuzia kabisa pindi wanapojihisi kupenda huo ni utumwa wa fikra kwani upendo ndio zawadi pekee unayoweza kuipa nafsi yako!
<br />
<br />
Asante mkuu kwa mchango wako, nimependa hii uliyosema "KUOGOPA KUUMIZWA NA KUPUUZIA PINDI WANAPOHISI KUPENDA HUO NI UTUMWA WA FIKRA KWANI UPENDO NDIO ZAWADI PEKEE UNAYOWEZA KUIPA NAFSI YAKO" Hatupaswi kuficha hisia zetu ama kuogopa kuumizwa pale tupendapo. Chamsingi tuweke hisia zetu wazi, tutaenjoy mahusihano na mapenzi yetu.
 
Mapenzi ya dhati hupatika pale ambapo Wapenzi hupendana bila masharti wala vigezo. Hii ina maanisha kwamba pesa, mali, uzuri havina nafasi. Pili Mapenzi ya dhati hupatikana pale ambapo wapenzi wamechukua muda kufahamiana vyema na sio haraka km inavyokuwa kwa wapenzi wengi wa siku hizi, hapa uvumilivu au kitu kinaitwa subira hutakiwa. Kwa mfano mimi nilitamani mpenzi anyaweza kuniridhisha muda wowote nikimhitaji, unadhani nikikiutana na yule ambaye yeye anaweza kukutana na mumue mara moja kwa mwei.... kweli huyu nitaendelea kumpenda??? ktk mapenzi inabidi kupeana muda wa kusomana, ili maamuzi ya wawili yasiwe na regrets.<br />
<br />
SUBIRA
<br />
<br />
Nadhani hivyo vigezo ulivyovitaja havihitajiki katika mapenz, vitu kama mali, pesa etc visiwe nguzo ya mapenz japo kuwepo kwa wapendanao ni jambo jema! Kuhusu masharti kwa upande wangu nadhan ni mhm, mapenz ya dhati yanahitaj makubaliano juu ya mambo baadhi.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Hakuna binadam mwenye mapenzi ya dhati. Mtatumia lugha tamu tamu hapa kudanganyana bure lakini kitu kama hicho hakipo aisee arifu yangu.
<br />
<br />
Mapenz ya dhati yapo jamaa angu aisee, we unadhan yasinge kuwepo ndoa za wazazi wetu tungezikuta? Hapa nazungumzia Uvumilivu na committement kama nguzo moja wapa ya haya mambo chalii. Mapenz ya dhati hayataki ulimbuken na mapepe!
 
Back
Top Bottom