Kikombe kinafurika
Member
- Mar 2, 2012
- 65
- 2
Hv ktk relationship kuna ubaya gani ukimwita mpenzio, dear, mpenzi, honey sweetheart, kuna wengine hawapendi kabisa, cjajua nn tatizo.
We Mtu kama kweli unampenda utatamani kuijua hata harufu yake, yaani ukiisikia tu unajua kitu chako kiko around, sembuse namba??
Ni muhi8mu bwana coz you never know, weza ibiwa simu weye au ukajikuta kwenye situation ambayo huweziaccess simu na unahitaji msaada wake.
Naunga miguu hoja mia kwa mia..We Mtu kama kweli unampenda utatamani kuijua hata harufu yake, yaani ukiisikia tu unajua kitu chako kiko around, sembuse namba??
Ni muhi8mu bwana coz you never know, weza ibiwa simu weye au ukajikuta kwenye situation ambayo huweziaccess simu na unahitaji msaada wake.
Hv ktk relationship kuna ubaya gani ukimwita mpenzio, dear, mpenzi, honey sweetheart, kuna wengine hawapendi kabisa, cjajua nn tatizo.
Hv ktk relationship kuna ubaya gani ukimwita mpenzio, dear, mpenzi, honey sweetheart, kuna wengine hawapendi kabisa, cjajua nn tatizo.
Marida, Msamehe mwenzio , Sisemi mrudiane nasema samehe maana unahutaji kusamehewa pia, na Pili Unabebe mzigo mzito usio na thamani kwako tena,
Fanya kama ilikua bahati mbaya maisha yasonge mbele
Hv ktk relationship kuna ubaya gani ukimwita mpenzio, dear, mpenzi, honey sweetheart, kuna wengine hawapendi kabisa, cjajua nn tatizo.