Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
uwa kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
Una akili timamu wewe!? Seriously...do you really think you deserve to be in this forum?
uwa kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
Una akili timamu wewe!? Seriously...do you really think you deserve to be in this forum?
hapo sawa tena sio vikojoleo tu na wale jirani zake wawili.
hapo sawa tena sio vikojoleo tu na wale jirani zake wawili.
fixed for youWanawake na sisi tukiwafumania tuwazibe vikojoleo vyao
hapo sawa tena sio vikojoleo tu na wale jirani zake wawili.
tunaanzaje kuwacharanga viwembe wakati wao ndo VIWEMBE VYENYEWE!a.k.a VIJOGOO!Ndio maana tunaita ukatili kwa sababu wanaume wanoongoza kwa kuchiti lakini nani anawacharanga viwembe?????
Akili atakuwa nazo, bila kukosea atakuwa mkurya huyu.
Siku nyingine ukirudia kuandika utumbo kama huu nitakutukana mpumbavu wewe.
Siku nyingine ukirudia kuandika utumbo kama huu nitakutukana mpumbavu wewe.
Kumbe hapo bado hujatukana? Nakusalimia tu shemeji, shkamoo!
tena umtukane zaidi, kanikwaza sana mie mama Ghati
tena kichuri na kirunguri kiko tayari
Kama mapenzi yenyewe ndiyo hivi, mimi nitakufa na bikira yangu. Sitoi kwa mwanaume yeyote ng'o!very sad aisee! km kuna wengine humu jukwaani jirekebisheni,haya si mapenzi ila ni uonevu na unyanyasaji.
Kama mapenzi yenyewe ndiyo hivi, mimi nitakufa na bikira yangu. Sitoi kwa mwanaume yeyote ng'o!
Jamani Binti.com hebu tuliongelee vizuri hili suala lako..PM me.
in other news, inawezekana huyo binti alivamiwa na majambazi....
Yako wapi mapenzi yenu ya mara ya kwanza mlipokutana hadi mkaamua kufunga ndoa..halafu mwisho wa siku ni kukatana mapanga?jamani hii akili au?si bora muwe ma senior bachelor kama uwezi as ndoa nayo ni wito..unyanyasaji huu kwa wanawake haukubaliki kabisaaa bora muambiane ukweli na sio kukatana mapanga..huku jamiii kama kuna mtu anatabia ya kumchapa mkewe nae aache kabisa hii tabia najua hamkosi kina chacha mwita muraaaaa......