JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Yako wapi mapenzi yenu ya mara ya kwanza mlipokutana hadi mkaamua kufunga ndoa..halafu mwisho wa siku ni kukatana mapanga?jamani hii akili au?si bora muwe ma senior bachelor kama uwezi as ndoa nayo ni wito..unyanyasaji huu kwa wanawake haukubaliki kabisaaa bora muambiane ukweli na sio kukatana mapanga..huku jamiii kama kuna mtu anatabia ya kumchapa mkewe nae aache kabisa hii tabia najua hamkosi kina chacha mwita muraaaaa......