Sijui ni utaratibu gani hutumika kumpata mpenzi aliye mkweli,kwani ni imani yangu kuwa kila kilicho chema kina mahusiano ya moja kwa moja na Mwenyezi Mungu,lakin ajabu kuna watu wanapata wapenzi wema kwa njia haramu na kuwafanya wakose utambuzi rational,Nimehangaika sana,nimenyanyaswa sana,nimeteseka sana na haya mapenzi kwani niligusa pasipo gusika,sasa kwa kuwa mimi ni binadamu mwenye sifa zote za kibayolojia,nimeamua kuliweka hili hadharani pengine naweza pata aliyetendwa kama mimi,KAZI KWENU WALIMWENGU.