nilishamaliza kidato, tena kazi nimeiona.
Inanipa kipato, naweza kujikimu.
Watakja kuniaidiaje, ukweli nimekupa?
Kama kwenye avater ndio wewe, tayari nimekupenda!
nilishamaliza kidato, tena kazi nimeiona.
Inanipa kipato, naweza kujikimu.
Watakja kuniaidiaje, ukweli nimekupa?
Kama kwenye avater ndio wewe, tayari nimekupenda!
Ndo unapenda haraka hivyo???Haya achana na huyo fomfo kabla hajakuzushia kesi ya kubaka utafute mwingine wa kumpenda!
Ushauri umeutoa, 100% umepata kwa kuanza na upole.Kaka usiwe na shaka. Mshauri aendelee na shule kwanza halafu muoane. Ila kumbuka kuna wenzako wengi washakuja hapa kutulilia kuwekeza kwa wasichana waliopo vyuoni / mashulebaada ya kumaliza masomo yako mabrother kakas wakaishia kutoswa. Uwe macho katika hilo. Warning: mambo ya kutaka kuoa watoto wadogo sisi wazazi hatukubaliana nayo. Ukiendekeza hilo tutakufuata huko huko na kukuadhibu. Tunataka huyo siku moja aje kuwa "ANNA MAKINDA" aongoze bunge bila kuelewa nini anachoongoza ha ha ha
utoto bwana!!kukaa kooote umeona umepost kitu cha maaana na bichwa hilo, haya achana mara moja na huyo binti,kwanza wewe umeishia kidato changapi?
Nimekulia mtaani, vina lugha yetu.
naomba samahani, nikikosea yawe yetu
Samahani mwombe mola, kwa sababu sijakwazika,
ungenikwaza ningekupasha, bila hata ya kukinga ridhaa,
weye fanya vitu vyako, kama vikufaavyo
usisikilize ya vidudu mtu, mabibi na mababu shutu,
wasio hata na utu, wao wenye roho za kutu.
Nashukru kipenzi, ushauri wako mtamu.
nahisi nikufahamu, ila keayboard haioni.
Unanifaa kwa sana, labda uwe umesajiriwa.
Maana usajiri umezidi, simu mpaka wake.
Hallo,
Kama wakati mgumu maishani mwangu, ni huu ndio nilio nao.
Nilipenda msichana yupo Form 4, nilipomweleza hisia zangu hakusita kwani hata yeye alikuwa na kitu hicho tangu siku nyingi! Sasa umefikia wakati mimi nataka nioe mwaka kesho, na nilimwambia kabla ya kusign in yaani kukubaliana naye, hakuzungumzia zaidi kuhusu hilo.
Msichana anauwezo mkubwa darasani yuko tatu bora! Sasa amesema kuona naye mwaka kesho ni lazima. Amesema atatumia mbinu yoyote ile ili mimi na yeye tuoane mwaka kesho! Sasa nifanyeje, niachane naye maana najua atajifelisha ili tuoane, na akifaulu kwenda kidato cha tano itakuwaje? Hataki tuachane ng'o!
Nisaidieni wanajamvi ni wakati mgumu!
Asanteni.