Ni nini kinachomfanya baba mtu mzima na familia nyumbani kutelekeza familia na kutumikia nyumba ndogo??? baba anadhubutu kuwalaza watoto njaa, huku akimjengea nyumba kicheche..
ni mapenzi au limbwata?kuna evidence mabinti wadogo wana majumba ya kifahari na mali kuliko hata wazazi waliowazaa.........
hii ni fashion au m'momonyoko wa maadili...
wakuu,your opinions matter
ni mapenzi au limbwata?kuna evidence mabinti wadogo wana majumba ya kifahari na mali kuliko hata wazazi waliowazaa.........
hii ni fashion au m'momonyoko wa maadili...
wakuu,your opinions matter