Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
umewahi kufanya hivyo?
sijawahi. Mwenzio napendwa bila limbwata. Lol.
umewahi kufanya hivyo?
sasa jamani kama utapewa na mke wako wa nadi inamaana hakuna mausiano mema nyumbani ukitoka nje anatafuta security ya ugali unaouleta kwake USHAURI WANGU kaa na mkeo nyumbani usiende nje na hakikisha anakuaamini na imani hiyo uionyeshe kwake hakika kwa kailimanzira kwishineyYaani ukisikia stori za kinamama wanavyokwenda kwa Kalumanzila utachoka kabisa.Kusema kweli kinababa sijui huwa tunalishwa uchafu kiasi gani.Wengine nasikia wanawapikia waume zao kwa maji yanayoosha maiti mochware,wengine nasikia wanachukua vipande vya nyama wanavisokomeza kusikotamkika kisha wanawakaangizia waume zao,ili mradi ni waganga kutaka kuzidiana ufundi. Jamani jamani uuuuuuwwwwiiiii,huko kwa mahawara ndo usiseme,ndo hakufai kabisa maana hawara ndo anakuwa anahangaika umsahau mkeo.Inachosha kabisa!
ni tatizo la mob mentality,akianza mmoja baadae genge zima linahamia kwa babu.
mwe mwe mwe mwe, uuuuuuuuuuuuuwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! naenda kumpa talaka mke wangu!
that is a good one,keep up the confidence dear!
sasa jamani kama utapewa na mke wako wa nadi inamaana hakuna mausiano mema nyumbani ukitoka nje anatafuta security ya ugali unaouleta kwake USHAURI WANGU kaa na mkeo nyumbani usiende nje na hakikisha anakuaamini na imani hiyo uionyeshe kwake hakika kwa kailimanzira kwishiney
Ukweli kabisa na hawajui inawezekana mganga akakupa wazi kapike chakula kizuri kwa mumeo na muwekee dawa hii kumbe umepewa unga wa mahindi
Ukarudi nyumbani ukajipinda ukapika chakula chako kizuri anachopenda mumeo na ukaweka ule unga ukadhani ni daw akumbe hakuna kitu
Unaona taratibu mume anarudisha upendo nyumbani kumbe mapenzi yamerudi kutokana na maandalizi yako ya chakula na the way umemkaribisha pale nyumbani wewe mawazo yako yakakimbilia dawa
Yaani ukisikia stori za kinamama wanavyokwenda kwa Kalumanzila utachoka kabisa.Kusema kweli kinababa sijui huwa tunalishwa uchafu kiasi gani.Wengine nasikia wanawapikia waume zao kwa maji yanayoosha maiti mochware,wengine nasikia wanachukua vipande vya nyama wanavisokomeza kusikotamkika kisha wanawakaangizia waume zao,ili mradi ni waganga kutaka kuzidiana ufundi. Jamani jamani uuuuuuwwwwiiiii,huko kwa mahawara ndo usiseme,ndo hakufai kabisa maana hawara ndo anakuwa anahangaika umsahau mkeo.Inachosha kabisa!