iyo mbona kawaida tu! mimi natengeneza juice karibia kila siku kumsaidia waifu wakati yeye anapika vyakula vingine..tukirudi wote jioni, hatuna housegirl, naona anachoka sana peke yake, na akichoka sana, anashindwa kunipatia unyumba vizuri, sasa ili kusolve tatizo ni kusaidia iti asichoke sana na wote tufaidi maisha. hapo vipi? nimechukuliwa akili au?
Hawa wawili si wale waliovunja ukimya kwa hisani ya watu wa marekani?
Wana JF hebu jaribuni kuitazama hiyo picha vizuri na mtizame macho ya huyo mwanaume na kuunganisha na maongezi yenyewe hamuoni kuwa hilo ni li house boy linamtamani bosi wake limesifiwa kidogo tu linajitangaza kuwa linaweza na mengine nani kaliuliza hayo mengine na mengine yenyewe ni yapi zaidi kutaka kuchezea pembejeo za mwenzake za kuendea haja ndogo
Hongera Ubungoubungo,lkn isiwe tu unasolve tatizo la kuchoka kwa ajili ya unyumba bali iwe unafanya hivyo kama sehemu ya mapenzi regardless ya mambo mengine.Hivyo hata mkeoiyo mbona kawaida tu! mimi natengeneza juice karibia kila siku kumsaidia waifu wakati yeye anapika vyakula vingine..tukirudi wote jioni, hatuna housegirl, naona anachoka sana peke yake, na akichoka sana, anashindwa kunipatia unyumba vizuri, sasa ili kusolve tatizo ni kusaidia iti asichoke sana na wote tufaidi maisha. hapo vipi? nimechukuliwa akili au?
iyo mbona kawaida tu! mimi natengeneza juice karibia kila siku kumsaidia waifu wakati yeye anapika vyakula vingine..tukirudi wote jioni, hatuna housegirl, naona anachoka sana peke yake, na akichoka sana, anashindwa kunipatia unyumba vizuri, sasa ili kusolve tatizo ni kusaidia iti asichoke sana na wote tufaidi maisha. hapo vipi? nimechukuliwa akili au?