mashambani kwao
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 370
- 56
duniani tunapita,
duniani tunapita,
mi naona lulu hana makosa kwani kufa ni sheria! hoja hapa ni kujiuliza kanumba halikua ameandaa maisha yake kwa maisha badala ya hapa dunian? ukweli ni kwamba hatujaja dunian kuishi milele nawaomba wote tutathimin maisha yetu kifo kisitukute kwenye maisha ya dhambi. jamani kwa kifupi yesu ni lazima atawale maisha yetu ili tujiakikishie usalama baada ya maisha haya.
namchukia huyo lulu.